Mugongo Mugongo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2006
- 223
- 8
nenda katulie ujipange usome makosa yako, wala usikurupuke tena. tatizo lako mkurupukaji na kiromo romo sasa siasa ni ujanja hadaa, tectiki na mengineyo, .
kijana ulitegwa na hukuiona mitego ukaingia kichwa kichwa kwa hio leo umelala lkn usikate tamaa kubali hili umeteleza acha misifa jipange kimya kimya.
na pia nnakwambia watu wa pwani husema "kubwa lijalo"[/B]"kunyamza si kushindwa ni werevu wa kutosha"
Afadhali useme wewe! Wengine tukisema tunaambiwa "tutajuta"!