The beautiful ones exists.

Wazuri bado hawajazaliwa. Rejea kitabu, "The beatyful Ones are not yet born" by Ayi Kwei Armah wa Ghana

don't rely much on this statement,is a myth kinda of.......hope u know uzuri is a very broad term si lazma uwe wa outlook,it can be inward personality,someone can be gud in eating,career,sports n games,good in varous aspect....kwa hiyo i don't buy that statement wazuri wapo n they are still yet to be born......as for the thread ngoja niitafakari
 
Wazuri bado hawajazaliwa. Rejea kitabu, "The beatyful Ones are not yet born" by Ayi Kwei Armah wa Ghana

wazuri wa muonekano, ndo maana nauliza pamoja na vitabu kama hivyo bado watu hawabadiliki kizazi hadi kizazi, angalau sura na tabia vicollerate?
 
hao watoto wanapachikwa mimba na watu kama nyie mnao chagua wale wazuri mnafumua mara moja kama ulivyosema then mnasepa...mngekuwa na firm relationship wasingekuwepo watu kama hao unawazungumzia kijana...kumbuka huyo unaefumua na kuacha alishafumuliwa kitambo wewe utakuwa sio wa kwanza...kwa mantiki hiyo ukifuatilia sana mtazamo wako hutokaa uoe kijana
 
Sample size Kahama nimeona katika familia zisizopungua 9 tena wengine hadi wanajirudia kuanzia dada na wadogo zake. Mfano familia moja jirani na nilipokuwa nikiishi kunafamilia yenye watoto watatu wakike dada yao aliafukuzwa shule akiwa form1 baada yakukutwa na ujauzito, miezi michache baadae anayemfuata alikuwa darasa la 7 nae akafukuzwa shule kwatatizo hilo hilo. Nilipokuwa nasoma O-level binti mwingine classmate kabisa kidato cha 2 alifukuzwa kwakukutwa nao. Hapohapo kunabinti nilikua nae kama family friend akiwa form2 ujauzito. Nikaenda Mwanza nilipokuwa naishi binti mmoja akapata ujauzito akiwa na umri wa miaka 13. Watoto wa mama yangu mkubwa wa5 wamekatisha masomo wote kwamiaka tofautitofauti sababu hiyohiyo kila wanapoingia kidato cha2. Mtaani sasa nikiona binti mzuri nikamsifia umri miaka 14-20 naambiwa anamtoto achana nae aliacha na shule akiwa labda kidato cha 3 hasa 2. Au nikimuona binti amebeba kitoto nikiuliza naambiwa chake alikipata alipokuwa anasoma shule fulani akaacha kusoma na hata kufukuzwa nyumbani. Chuoni nikakutana na mdada katika stori akawa analalamika kuwa angekuwa kazini sema alizalishwa form2 akalea mwana baadae akarudi shuleni. Na bado mambo yako hivi kila siku mabinti wanakosa misimamo tatizo nini? Hawana masikio? Au hawaoni?

Mkuu kama nakaa jirani na wewe niambie nihane cz bado binti yangu ni mdogo.

We kila mtu unayemjua anapata mimba before 15, alafu huusiki hata mmoja wao!!

I doubt Mkuu.
 
Takes 2 to Tango. Na kwa kuangalia huwezi kumjudge. Behind every woman you met, there ia a man who did her wrong.
 
Back
Top Bottom