Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

Zipo,nyingi tu sema naona uvivu kuandika nyingi
Huduma ya kupima HIV ni bure kwa baadhi ya hospital
Huduma ya chanjo za watoto kwa baadhi ya hospital ni bure
Kuna sehemu wanaonesha mpira bure kabisa huku mtaani kwetu


Wewe kama unapata wanawake wanaokuuzia uchi hilo ni tatizo lako...sisi huku tulipewa uchi bure na tunautoa bure
Shikamooooo.....
 
Mimi sio domo zege ila nimeshavuka umri wa kutongoza na kuongea ongea maneno mengi. Niwaze kutafta hela niwaze na kutongoza pia? Haiwezekani.

Mimi siku hizi mambo ya kutongoza mwanamke miezi kadhaa, wiki kadhaa sihitaji kabisa, ikizidi sana iwe wiki kwa sababu ya kua amebanwa na mambo.
Huna mpango wa kuoa?
 
Miaka ya nyuma kutongoza was an art, na ilikua lazima uimudu hiyo sanaa uweze kupata ama kula watoto wazuri. Ilikua ni lazima uwe mtu wa maneno na vitendo.

Miaka ya nyuma ukiwa domo zege wanawake utaishia kuwaona sokoni, madomo zege wengi waliishia kwenye punyeto maana hawakua na namna nyingine.

Leo hii baada ya kuja Dating Apps, dating sites ambao zinaleta watoto wazuri mikononi mwako, kazi yako ni kuwaita tu, ni kama unaita uber, uko wapi, njoo huku, akisema ana request nyingine unacancel unaita mwingine, ukiona uber iko na bei kubwa unahamia taxify, what a hell of it?

Madomo zege mpewe nini? Leo hii kwa ujio wa dating apps bado watu wanapiga punyeto kweli? Hivi watu mpewe nini? Kuna Tinder(my favourite), Tantan(vikuku vya kienyeji,single mamas), Tagged, meet me, Hitwe(mnaopenda majimama makubwa ya kiswahili), badoo(makahaba, mashoga), lovoo, na kadhalika na kadhalika. Nainapatikana nchini kote, watu mnataka nini?

Teknolojia hairahisishi maisha tu, mambo mengine teknolojia inatutafunia, kazi ni kumeza tu.
Punyeto ni kwa ajili ya kubana matumizi,,na kujiepusha na ngono zembe ,, sio udomo zege..
Watoto kama
Nick manaj,,Beyonce,,kareena kapoor,,priyanka chopra watu tushapita nao siku nyingi tu..na sasa hatuna habari nao..
Tunaringa tu
 
Punyeto ni kwa ajili ya kubana matumizi,,na kujiepusha na ngono zembe ,, sio udomo zege..
Watoto kama
Nick manaj,,Beyonce,,kareena kapoor,,priyanka chopra watu tushapita nao siku nyingi tu..na sasa hatuna habari nao..
Tunaringa tu

Wee jamaaa umenichekesha kweli...ila mzee umewataja warembo wa ukweli๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wee jamaaa umenichekesha kweli...ila mzee umewataja warembo wa ukweli
Sana mkuu,,watu wanadhani kupiga puchu ni udomo zege,,
Kumbe ni kutotaka usumbufu kutoka kwa wanawake na kugegeda mwanamke umtakae ,,tena bure kabisa,,kkkkk..
 
Sana mkuu,,watu wanadhani kupiga puchu ni udomo zege,,
Kumbe ni kutotaka usumbufu kutoka kwa wanawake na kugegeda mwanamke umtakae ,,tena bure kabisa,,kkkkk..

Dah wee noma ila unatoa point. Na uzuri wake unaweza gegeda warembo wawili kwa bao moja alafu wote wazuri...no stress
 
Miaka ya nyuma kutongoza was an art, na ilikua lazima uimudu hiyo sanaa uweze kupata ama kula watoto wazuri. Ilikua ni lazima uwe mtu wa maneno na vitendo.

Miaka ya nyuma ukiwa domo zege wanawake utaishia kuwaona sokoni, madomo zege wengi waliishia kwenye punyeto maana hawakua na namna nyingine.

Leo hii baada ya kuja Dating Apps, dating sites ambao zinaleta watoto wazuri mikononi mwako, kazi yako ni kuwaita tu, ni kama unaita uber, uko wapi, njoo huku, akisema ana request nyingine unacancel unaita mwingine, ukiona uber iko na bei kubwa unahamia taxify, what a hell of it?

Madomo zege mpewe nini? Leo hii kwa ujio wa dating apps bado watu wanapiga punyeto kweli? Hivi watu mpewe nini? Kuna Tinder(my favourite), Tantan(vikuku vya kienyeji,single mamas), Tagged, meet me, Hitwe(mnaopenda majimama makubwa ya kiswahili), badoo(makahaba, mashoga), lovoo, na kadhalika na kadhalika. Nainapatikana nchini kote, watu mnataka nini?

Teknolojia hairahisishi maisha tu, mambo mengine teknolojia inatutafunia, kazi ni kumeza tu.
Madomo zege tupewe pesa ( money money ), maana hakuna cha bure
 
Dah wee noma ila unatoa point. Na uzuri wake unaweza gegeda warembo wawili kwa bao moja alafu wote wazuri...no stress
Sana mkuu,,,sometimes unajikuta huna hamu kabisa na nick minaj au Beyonce,,yaani ushamalizana nao kitambo tu,,,hao akina sanchoka ndy huna habari nao kabisa,,,ushawakinai,,
Demu yeyote wewe unagegeda,,tena pasi na mwenyewe kujitambuwa,,
Pesa zako Fanya mambo mengine ya maendeleo..
No woman no stress mkuu..
 
Tena inaonyesha mtoa mada ni bingwa wa kutongoza kwa msaada wa keyboard ya Simu..
Akiwa live na demu,domo limejaa ganzi..
hahah nakumbuka siku moja tuikuwa na aada hivi mwanaume ambaye kawa kijana miaka 25 lakini bado hajamlala mwanamke anaitwaje, basi akatokea jamaa moja akaanza kuponda kinoma na kuwadharau hawa wanaume na kuwaita majina yote ya fedheha, Kumbe jamaa tulishamsomaga yeyey mwenyewe hanaga hata demu na yupo vibaya sana kwenye sekta ya mahusiano ana aibu aibu, Tukampiga maswali pale ya viungo vya mwanamke akatoka kapa, tukajua jamaa hajawahi aisee. Hana utofauti na mtoa maada yaelekwa mtoa maada na miaka 30 hajawahi hata vua chupi mkuu
 
Sometime muwe makin na izo dating sites , kuna rafiki yangu alikiwa anachat na mdada over age, akamfuata msela moshi, jamaa hakuamin siku ana muona huyo mwanamke ni alikuwa overage sana na bibie ndio katoka mkoan moro kwenda moshi anachokitaka ni kimoja tu DOZI

Jamaa kila akijaribu kumkatalia bibie akagoma kutoka geto unajua kwann ? Bibie alikuwa anashida ya kupata mtoto miaka mingi na alikwenda kwa sirngoma bac sirngoma akamwambia akitaka kupata mtoto bac atembee na mwanaume wa nje ya mkoa alipokuwa anaishi amnapo ilikuwa ni moro. Ikabidi msela atowe dozi japo kwa shingo upande.
 
Back
Top Bottom