Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
well... koh koh koh!
well... koh koh koh!
really???????????
Shut up cuzin!
I'm gonna shovel some snow outside..!
I'm gonna shovel some snow outside..!
I'm gonna shovel some snow outside..!
That will help!...go do that.
Na huo uzee wake sijui hata kama ataweza.....
Nilishaga mshauri ahame ila mbishi mno. Na ile wheelchair yake ikikwama kwenye snow sijui atafanyaje.....
Hahahaaha you never know labda ana dogodogo huko ndiyo maana bado yupo yupo kidogo.
Na huo uzee wake sijui hata kama ataweza.....
Nilishaga mshauri ahame ila mbishi mno. Na ile wheelchair yake ikikwama kwenye snow sijui atafanyaje.....
Ha ha haa usije ukakuta ile wheelchair in 4-wheel. It's amazing huyu mzee anavyojua kucheza na kibaiskeli chake. Bado nakumbuka jinsi alivyo-spin 360 kwenye dancing floor pale Columbus....tena kwa kutumia tairi moja tu.
the problem is where to start!!! na hawa wazungu hata kutupa hint kwamba wataturuhusu tutimke... angalau Bongo unaweza kufanya shughuli zako halafu ukarudi kazini.. na bosi ukakuta naye hajarudi!
sasa sijui which is better.. mafuriko ya barabara za jiji la Dar mvua ikinyesha au theluji inapoanguka katikati ya wiki!
Heheheheheeeee.....na nimjuavyo wala sitashangaa. Usikute yule M-Lebanon au sijui M-Palestina.....hehehehe love is blind kwa kweli
the problem is where to start!!! na hawa wazungu hata kutupa hint kwamba wataturuhusu tutimke... angalau Bongo unaweza kufanya shughuli zako halafu ukarudi kazini.. na bosi ukakuta naye hajarudi!
sasa sijui which is better.. mafuriko ya barabara za jiji la Dar mvua ikinyesha au theluji inapoanguka katikati ya wiki!
Gotdamn!! heeee hivi mnaishi ishije huko?
Kwani na nyie mnaishije ishije na joto wakati wa Summer? over 100 degrees?
mkianza kuturingia na snow nsituchukie tunapopandwa na jazba kwa kuwaita watoto wa mafisadi.................
kalie hoja sio maringo............