Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...hivi, kwanini wanakamati wanakuwa wanoko sana
Bwana harusi anataka mchango kidogo angalau alipie kodi ya chumba kwa miezi sita, wao wanashikilia hiyo ni shauri yake,... eti wanataka fungu lililobakia litumike kuvunjia kamati!
Halafu utakuta pengine wala huyo bw Harusi hakutaka makuu ya sherehe kubwa, msafara wa magari, tarumbeta wala rusha roho! Personally, nimeshuhudia kwa Bw. mdogo mmoja, ndugu zake walimlazimisha afanye bonge la harusi japo jamaa ndio hivyo tena, (KCC).
Mbaya zaidi ni pale walipomlazimisha dogo akope 3* his salary, eti akiwa kama mhusika lazima achangie donge nono! ...Kwani lazima sherehe mpaka mtaani washikishwe adabu jamani?
Haipendezi badala ya maharusi kufurahia fungate, unamuona bwana harusi kawa mdooogo kwa madeni.
Wanakamati, msiwape adhabu waoaji!
Bwana harusi anataka mchango kidogo angalau alipie kodi ya chumba kwa miezi sita, wao wanashikilia hiyo ni shauri yake,... eti wanataka fungu lililobakia litumike kuvunjia kamati!
Halafu utakuta pengine wala huyo bw Harusi hakutaka makuu ya sherehe kubwa, msafara wa magari, tarumbeta wala rusha roho! Personally, nimeshuhudia kwa Bw. mdogo mmoja, ndugu zake walimlazimisha afanye bonge la harusi japo jamaa ndio hivyo tena, (KCC).
Mbaya zaidi ni pale walipomlazimisha dogo akope 3* his salary, eti akiwa kama mhusika lazima achangie donge nono! ...Kwani lazima sherehe mpaka mtaani washikishwe adabu jamani?
Haipendezi badala ya maharusi kufurahia fungate, unamuona bwana harusi kawa mdooogo kwa madeni.
Wanakamati, msiwape adhabu waoaji!