Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,374
Hoja imeungwa mkono.Wasio wazalendo wachapwe viboko tu.
Hoja imeungwa mkono.Wasio wazalendo wachapwe viboko tu.
Ukishaingia kwenye siasa za Tanzania yaani hata kama ni Profesa unakuwa level moja na sie wa darasa la 7B maana unahitaji zaidi kujichetua kuliko kutumia akili.Ndumbaro kaleta taharuki tu, asilimia kubwa ya mawazir wa Samia ni weupe mno kichwani sijui hata huwa anatumia vigezo Gani kuwateua.
ur so evilSolution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
🤣🤣🤣Shule aliyosoma Salma kikwete,mroho wa mali na madaraka."Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."
This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.
Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
🤣🤣Kwan ye amekalia hicho kiti kwa kigezo gani?ukiteua walio weupe kichwani speaks volumes about upeo na uwezo wa mteuzi.Ndumbaro kaleta taharuki tu, asilimia kubwa ya mawazir wa Samia ni weupe mno kichwani sijui hata huwa anatumia vigezo Gani kuwateua.
Ooh yeah, tena 100 kidogo, wafe hata 500 ndio wengine watatia akili.ur so evil
Na yule waziri bado yupo kwenye ofisi za umma tu Hadi leo? Tatizo wanachojua nikutofuata Sheria Wala taratibu na wanaiga toka kwa wakuu zao wanasahau kiongozi haundeshwi kwa hisia Kama mapenzi unaongoza watu na nchi hivyo ndio Mana zikawekwa taratibu na sheriaShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetuma barua CAF ya kulihakikishia shirikisho hilo la soka Afrika CAF kuwa mechi ya Yanga dhidi Mamelodi Sondowans itachezwa kwa kanuni na taratibu za soka zilizowekwa ya namna ya kuingia uwanjani, na kigezo sio passport...
TFF wameshtukia mtego ambao ungeenda kuigharimu nchi pakubwa tayari mashabiki ambao wangevaa jezi za mamelodi walishakubaliana kuwa chochote watakachofanyiwa na polisi au walinzi wa geti la kuingilia uwanjani wangekuwa wanarekodi moja kwa moja na kuzituma kwenye page ya CAF na FIFA View attachment 2942508
Africa mpaka mtu ajiuzulu siyo mchezoNa yule waziri bado yupo kwenye ofisi za umma tu Hadi leo? Tatizo wanachojua nikutofuata Sheria Wala taratibu na wanaiga toka kwa wakuu zao wanasahau kiongozi haundeshwi kwa hisia Kama mapenzi unaongoza watu na nchi hivyo ndio Mana zikawekwa taratibu na sheria
Kwa ajili ya mpira wa miguu tu? Mbona kama una frustrations za maisha mkuu? Anyways Mungu akufanyie wepesiOoh yeah, tena 100 kidogo, wafe hata 500 ndio wengine watatia akili.
Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.Waziri alikurupuka.
Waache watu wapewe uhuru wao wa kushangilia timu zao sio wote ni mashabiki wa Simba na Yanga.
Au wakamatwe kimya kimya muda wa kuondoka uwanjani wake segerea angalau wikiWasio wazalendo wachapwe viboko tu.
Wamebana wameachiaShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetuma barua CAF ya kulihakikishia shirikisho hilo la soka Afrika CAF kuwa mechi ya Yanga dhidi Mamelodi Sondowans itachezwa kwa kanuni na taratibu za soka zilizowekwa ya namna ya kuingia uwanjani, na kigezo sio passport...
TFF wameshtukia mtego ambao ungeenda kuigharimu nchi pakubwa tayari mashabiki ambao wangevaa jezi za mamelodi walishakubaliana kuwa chochote watakachofanyiwa na polisi au walinzi wa geti la kuingilia uwanjani wangekuwa wanarekodi moja kwa moja na kuzituma kwenye page ya CAF na FIFA View attachment 2942508
Kwa kweli hichi kiingereza ni cha kujifunzia pale AMAZON COLEGE AU KWA RAS SIMBA"Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."
This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.
Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
Kinachoshangaza zaidi Simba wamesahau kama Wana mechi na Al Ahaly na wao ndio wanaanza kucheza, lakini wako busy na Yanga.Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.
Hofu ni ya nini?
Mbona Simba hawalalamiki?
Wanajua wanakutana na mfupa mgumu.Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.
Hofu ni ya nini?
Mbona Simba hawalalamiki?