TFF yajitenga na kauli ya Ndumbaro, yatoa hakikisho la usalama kwa timu zitakazokuja kwa ajili ya CAFCL na hakutakuwa na Ubaguzi kama ilivyodaiwa

Ndumbaro kaleta taharuki tu, asilimia kubwa ya mawazir wa Samia ni weupe mno kichwani sijui hata huwa anatumia vigezo Gani kuwateua.
Ukishaingia kwenye siasa za Tanzania yaani hata kama ni Profesa unakuwa level moja na sie wa darasa la 7B maana unahitaji zaidi kujichetua kuliko kutumia akili.

Yaani jamaa kama ni raia kigeni umeingia nchini hujui nani ni nani unaweza sema Ndumbaro ni Rais wa TFF Kwa kupenda kuzungumzia timu ya Taifa huku TFF wakionekana Kwa nadra sana.

Ifike mahala Hawa wanasiasa waziache hizi timu za Taifa na hizi club zinazoshiriki mashindano ya kimataifa waendeshe mambo Yao. Serikali kutoa support sio ndo Kila dakika unapotaka unakwenda mara kuingia kambini kuongea na wachezaji etc
 
Solution ya kukomesha ushabiki wa kishamba inatakiwa kinuke siku moja Kwa Mkapa wafe kama mashabiki uchwara 100 ndio heshima itakuwepo, na hakuna tena atakayekwenda uwanjani kwa mechi isiyomuhusu.
ur so evil
 
  • Thanks
Reactions: K11
"Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."

This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.

Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
🤣🤣🤣Shule aliyosoma Salma kikwete,mroho wa mali na madaraka.
 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetuma barua CAF ya kulihakikishia shirikisho hilo la soka Afrika CAF kuwa mechi ya Yanga dhidi Mamelodi Sondowans itachezwa kwa kanuni na taratibu za soka zilizowekwa ya namna ya kuingia uwanjani, na kigezo sio passport...
TFF wameshtukia mtego ambao ungeenda kuigharimu nchi pakubwa tayari mashabiki ambao wangevaa jezi za mamelodi walishakubaliana kuwa chochote watakachofanyiwa na polisi au walinzi wa geti la kuingilia uwanjani wangekuwa wanarekodi moja kwa moja na kuzituma kwenye page ya CAF na FIFA View attachment 2942508
Na yule waziri bado yupo kwenye ofisi za umma tu Hadi leo? Tatizo wanachojua nikutofuata Sheria Wala taratibu na wanaiga toka kwa wakuu zao wanasahau kiongozi haundeshwi kwa hisia Kama mapenzi unaongoza watu na nchi hivyo ndio Mana zikawekwa taratibu na sheria
 
Na yule waziri bado yupo kwenye ofisi za umma tu Hadi leo? Tatizo wanachojua nikutofuata Sheria Wala taratibu na wanaiga toka kwa wakuu zao wanasahau kiongozi haundeshwi kwa hisia Kama mapenzi unaongoza watu na nchi hivyo ndio Mana zikawekwa taratibu na sheria
Africa mpaka mtu ajiuzulu siyo mchezo
 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetuma barua CAF ya kulihakikishia shirikisho hilo la soka Afrika CAF kuwa mechi ya Yanga dhidi Mamelodi Sondowans itachezwa kwa kanuni na taratibu za soka zilizowekwa ya namna ya kuingia uwanjani, na kigezo sio passport...
TFF wameshtukia mtego ambao ungeenda kuigharimu nchi pakubwa tayari mashabiki ambao wangevaa jezi za mamelodi walishakubaliana kuwa chochote watakachofanyiwa na polisi au walinzi wa geti la kuingilia uwanjani wangekuwa wanarekodi moja kwa moja na kuzituma kwenye page ya CAF na FIFA View attachment 2942508
Wamebana wameachia
 
"Thus, not that passports will not be used as access to the stadium for supporters of Mamelody Sundowns FC..."

This double negation conveys a message that passports will be an entrance requirement.

Hawa TFF walisomea wapi Kingereza?
Kwa kweli hichi kiingereza ni cha kujifunzia pale AMAZON COLEGE AU KWA RAS SIMBA
 
Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.

Hofu ni ya nini?

Mbona Simba hawalalamiki?
Kinachoshangaza zaidi Simba wamesahau kama Wana mechi na Al Ahaly na wao ndio wanaanza kucheza, lakini wako busy na Yanga.

Simba wakitolewa na Yanga kwenda nusu fainali mtasingizia majini na Mamelodi hii siyo Ile.

Fuseeeki.
 
Najiuliza hii nguvu kubwa inayotumika kudhibiti mashabiki wa Sundown mbona haikutumika kipindi UTOPOLO anakesha airport kuwapokea AC Vita na Kaizer Chief na wengine.

Hofu ni ya nini?

Mbona Simba hawalalamiki?
Wanajua wanakutana na mfupa mgumu.

Hujiulizi kwanini mwaka jana walipopangwa na Rivers hakukuwa na hizi kelele?

Na viongozi wao walivyokosa uungwana hawajawahi hata kuomba radhi kwa vitendo walivyofanya kipindi Simba inashiriki kimataifa na Yanga haishiriki.
 
Back
Top Bottom