NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,377
- 12,935
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayedaiwa pasipoti wakati anaingia uwanjani katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns.
TFF imesisitiza kuwa michezo haisimamiwi na idara ya uhamiaji, hivyo imewatoa hofu wachezaji, mashabiki na uongozi wa Mamelodi na kuwahakikisha usalama muda wote watakaokuwepo nchini.
Maoni Yangu: TFF wamechelewa sana kutoa tamko na waziri Ndubalo ajitokeze kutengua kauli yake na kutuomba Radhi mashabiki wa mpira wa miguu.
TFF imesisitiza kuwa michezo haisimamiwi na idara ya uhamiaji, hivyo imewatoa hofu wachezaji, mashabiki na uongozi wa Mamelodi na kuwahakikisha usalama muda wote watakaokuwepo nchini.
Maoni Yangu: TFF wamechelewa sana kutoa tamko na waziri Ndubalo ajitokeze kutengua kauli yake na kutuomba Radhi mashabiki wa mpira wa miguu.