Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
"UDIKTETA" kumbe haupo kwenye SIASA pekee na naamini huanzia NYUMBANI kwanza.
Hivi soka letu kama nchi litafufuka kweli ikiwa watawala pale TFF wanaona mawazo yao tu ndo sahihi? Udhamini wa timu ni tofauti kabisa na udhamini wa klabu. Mdhamini wa LIGI hudhamini mashindano kwa nia ya kutangaza biashara yake kupitia hayo mashindano na mdhamini wa klabu hufanya hivo hivo kupitia klabu kwa kipindi watakacho kubaliana na mdhamini wa klabu ndio huwa na mzigo mkubwa zaidi kwani gharama za kuendesha klabu huwa zake.
Sasa usanii huu wa watawala wa TFF kutaka vilabu eti visipate mdhamini mwenye BIASHARA sawasawa na mdhamini wa ligi ya TFF mie haiingii akilini kabisa kama sio pana maslahi binafsi hapa ni nini?
Pana kampuni za simu nyingi tuu ambazo zingependa kudhamini vilabu visivokuwa na uwezo wa kujiendesha lakini TFF ni kikwazo, pale England Backlays bank inadhamini ligi ya nchi hiyo (BPL) lakini haijaizuia Liverpool kuwa na mdhamini wake Starndard Chartered bank!!!!!!!!!!!!
Tungekuwa hatuoni TV ligi za wenzetu wenye akili za kuendeleza soka hatungekuwa na cha kusema kuhusu utendaji mbovu wa TFF. Angalia mashindano ya kombe la Taifa yamefia wapi?
Hivi hatuwezi kuwa na tabia ya mashabiki wa Yanga na Simba pale timu zao zifunganapo kutimua viongozi bila kujali timu hizo kwenye mashindano ya kimataifa zinafanya nini???????
TAFAKARI NDUGU.
Hivi soka letu kama nchi litafufuka kweli ikiwa watawala pale TFF wanaona mawazo yao tu ndo sahihi? Udhamini wa timu ni tofauti kabisa na udhamini wa klabu. Mdhamini wa LIGI hudhamini mashindano kwa nia ya kutangaza biashara yake kupitia hayo mashindano na mdhamini wa klabu hufanya hivo hivo kupitia klabu kwa kipindi watakacho kubaliana na mdhamini wa klabu ndio huwa na mzigo mkubwa zaidi kwani gharama za kuendesha klabu huwa zake.
Sasa usanii huu wa watawala wa TFF kutaka vilabu eti visipate mdhamini mwenye BIASHARA sawasawa na mdhamini wa ligi ya TFF mie haiingii akilini kabisa kama sio pana maslahi binafsi hapa ni nini?
Pana kampuni za simu nyingi tuu ambazo zingependa kudhamini vilabu visivokuwa na uwezo wa kujiendesha lakini TFF ni kikwazo, pale England Backlays bank inadhamini ligi ya nchi hiyo (BPL) lakini haijaizuia Liverpool kuwa na mdhamini wake Starndard Chartered bank!!!!!!!!!!!!
Tungekuwa hatuoni TV ligi za wenzetu wenye akili za kuendeleza soka hatungekuwa na cha kusema kuhusu utendaji mbovu wa TFF. Angalia mashindano ya kombe la Taifa yamefia wapi?
Hivi hatuwezi kuwa na tabia ya mashabiki wa Yanga na Simba pale timu zao zifunganapo kutimua viongozi bila kujali timu hizo kwenye mashindano ya kimataifa zinafanya nini???????
TAFAKARI NDUGU.