Tfda tulidhani mmebadilika!!!!!!!!!!! Utumishi angalia hili

imate

Member
Oct 31, 2010
10
3
Wadau mwaonaje hili. Kutokana na tatizo la ajira basi ukiitwa kwenye interview unakuwa na matumaini mapya. Hivi juzi tuliitwa kwa interview tfda. Tuliitwa watu wengi sana kwa level ya laboratory technician. We were from SUA,DIT degree pamoja na UDSM engineers walikuwepo. Tulikuwepo watu makini wenye experience in laboratory ni kwamba tu hatujabahatika kuajiriwa na serikali bado lakini kati yetu alikuja dogo mmoja yeye amemaliza SUA mwaka huu na alikuwa ana mtihani wa supplimentary the same day basi sisi tulimshauri dogo aende akapige paper kwanza aachane na mambo ya kazi. Dogo hakujibu bali alitabasamu. dogo aliitwa wa kwanza alipiga interview. Kilichonistua yeye ndo amepata kazi jamani cna hamu na tfda. cku zingine msitusumbue kama mna watu wenu kuna watu tulitoka mikoani tumetumia gharama na hapa mjini hatuna ndugu kweli mnatufanyia hivi...
 
Tatizo ni yeye kupata au kuna lingine?Kwa sababu naona kama alikuwa shortlisted ina maana wote mlikuwa mna equal chance za kupata.Pia nadhani kwa masomo ya kibongobongo mtu aliyemaliza mfano mwaka huu anakuwa azikubuka sana theories kuliko aliyemaliza miaka 2 au mmoja nyuma.
 
Hiyo ndio Tfda ndugu yangu...! Ni kujuana kwa kwenda mbele..!
 
Kama alikuwepo na kapata kazi sio issue, supplimentary isikutishe maana kuna sababu nyingi za kuwa na supplimentary, mbona mimi nimefanya interview na ma-doctor wa NIMR, nimepata kazi ya senior medical research officer wakati mimi ni mtu wa uchumi, watu wanaangalia vigezo, sio nauli au umbali, unaweza ukawa na experience ambazo hazihitajiki, pole
 
Acha UJINGA na MAJUNGU wewe hata huyo dogo anayo haki ya kupata kazi.....kuwa na supplimentary au kuwa mdogo kiumli haimaanishi mtu ni mbumbu....Acha kuzarau wenzako.....TFDA ni mamlaka makini ndio maana wajinga kama wewe hawapati kazi pale......
 
Kama alikuwepo na kapata kazi sio issue, supplimentary isikutishe maana kuna sababu nyingi za kuwa na supplimentary, mbona mimi nimefanya interview na ma-doctor wa NIMR, nimepata kazi ya senior medical research officer wakati mimi ni mtu wa uchumi, watu wanaangalia vigezo, sio nauli au umbali, unaweza ukawa na experience ambazo hazihitajiki, pole

Kama taratibu zikifuatwa supplimentary ni issue, kumbuka kuwa matangazo ya Sekretatieti ya Ajira huwa wanasisitiza (hadi wanabold sentensi) kuwa na cheti, sasa huoni kama ni maajabu mtu kuitwa kwenye interview wakati ana supp??

Maana nijuavyo mimi academic transcript hutolewa kwa watu walioclear masomo yote sasa huyo dogo aliwezaje kuitwa kwenye usaili wakati hana cheti!!??
Mfano wako unaotoa ni irrelevant ktk scenario hii kwani kazi za research mtu yeyote akiwa trained anaweza kufanya ktk fied yoyote
 
Acha UJINGA na MAJUNGU wewe hata huyo dogo anayo haki ya kupata kazi.....kuwa na supplimentary au kuwa mdogo kiumli haimaanishi mtu ni mbumbu....Acha kuzarau wenzako.....TFDA ni mamlaka makini ndio maana wajinga kama wewe hawapati kazi pale......
wewe ni poyoyo mkubwa. nani kakwambia mwenye supp amemaliza chuo? ikatokea akashindwa kuclear ile supp inakuwaje? wakati mwingine anaweza aka carry halafu hata carry akashindwa kuichomoa hiyo ni disco hapo itakuwaje? kama kuna watu ambao wamemalizana na masomo kwanini ung'ang'ne na hao wenye supp au mafisadi ndo mnateteana? ppumbaavuu mkubwa weew
 
Umejuaje ni dogo????????? Unaweza kufikiri ni dogo kumbe hicho anachosoma sasa siyo alichotumia kuombea kazi. Inawezekana anacheti ingine alichonacho. Si unaelewa unaweza kusoma degree zaidi ya moja ndugu yangu!!!! Mi nasema TFDA Bado ni makini. Using'ang'ania kitu ambacho si chako. Angalia pia ulimwengu wa roho inawezekana ni muujiza wake; UPOOOOOOOOOOO
 
Hiyo ndio Tfda ndugu yangu...! Ni kujuana kwa kwenda mbele..!


nasikia kuna kiwanda cha mafuta ya kula pale kidongo chekundu, wanapaki na kuuza mafuta bila kufata utaratibu lakini tfda wamefumbia macho tu, hawana maadili ya kazi hao kwa hiyo achana nao
 
Interview na ajira za bongo hazieleweki kabisa kuna dada nilikuwa naye chuo alikuwa na suplimentary mbili na carry moja kwenye interview NBC alichaguliwa yeye na wengine wenye vyeti na uzoefu wakamwagwa.
 
Kama taratibu zikifuatwa supplimentary ni issue, kumbuka kuwa matangazo ya Sekretatieti ya Ajira huwa wanasisitiza (hadi wanabold sentensi) kuwa na cheti, sasa huoni kama ni maajabu mtu kuitwa kwenye interview wakati ana supp??

Maana nijuavyo mimi academic transcript hutolewa kwa watu walioclear masomo yote sasa huyo dogo aliwezaje kuitwa kwenye usaili wakati hana cheti!!??
Mfano wako unaotoa ni irrelevant ktk scenario hii kwani kazi za research mtu yeyote akiwa trained anaweza kufanya ktk fied yoyote
kwanza sitaki kuamini kwamba kweli huyo Dogo alikua na Supplimentary na inafanyika sikuhiyohiyo ya Interview:

pili, sioni cha ajabu Dogo kama amefanya Interview na kurespond maswali kisawasawa kwanini hasipate Ajira.

tatu, ikumbukwe kwamba Tanzania kuna vyuo ambavyo vinajulikana kwa kutoa Pure Cream(vijana wanaojipinda kwenye kubukua kisawasawa) na SUA kikiwa kimojawapo

Hivyo kuwa na Transcript au Cheti kabisa haisaidii chochote kama kichwani hamna kitu.
 
Back
Top Bottom