Kingo Janta
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 316
- 247
wadau kuna tetesi za mtaani zinasema eti usaili wa vijana kujitolea JKT umeanza ngazi ya wilaya.. kwa anaejua taarifa hizi kwa undani atujuze
wadau kuna tetesi za mtaani zinasema eti usaili wa vijana kujitolea JKT umeanza ngazi ya wilaya.. kwa anaejua taarifa hizi kwa undani atujuze
Zmetoka na wengne 2mechaguliwa .2nawait kuitwa ngazi ya wilaya. So kama kuna m2 anafununu usaili wa Wilaya unakuaje a2juze. Ili 2simbwire. We unasema wengne wameandamana kixa ajira .c 2fate nin. C twafata uzalendo..
wanapewa na ajira au mafunzo tuuu.
Zmetoka na wengne 2mechaguliwa .2nawait kuitwa ngazi ya wilaya. So kama kuna m2 anafununu usaili wa Wilaya unakuaje a2juze. Ili 2simbwire. We unasema wengne wameandamana kixa ajira .c 2fate nin. C twafata uzalendo..