Waganga njaa wote hao, they've never been prime movers,Hizi ni tetesi zimezagaa kweli... tunasubiria kujua undani wake...
Nchimbi, Kimbisa, Saning'o, Goodluck Ole Medeye, na wabunge wengine kadhaa wako ktk maongezi ya kwenda Chadema..
Hizi ni tetesi, tusubirie tuone
hayo makapi ya nini kwani hakuna watu upinzani wenye uwezo.. waje chadema wawe wanachama wakawaida..wasituvurugie mipango kuna watu waimarisha sana upinzani .
wapokeeni kwa mda,watarudi ccm wiki moja kabla ya uchaguzi...
Waje tuunde upinzani wa kweli lakini angalizo: Chonde CDM Msipokee wale Dr. Slaa aliwataja katika ile list of Shame, tutakiangamiza chama. Madongo tuliyokuwa tunaipiga CCM yataturudia
Wamejua kwamba watatoswa na mkwere na nape basi wanatimkia chadema. Sizitaki hizi mbichi
hayo makapi ya nini kwani hakuna watu upinzani wenye uwezo.. waje chadema wawe wanachama wakawaida..wasituvurugie mipango kuna watu waimarisha sana upinzani .
Waganga njaa wote hao, they've never been prime movers,
Hao si madereva wa kisiasa , ni abiria tu!