minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Halafu hilo mbwege Kova nina hasira nae dadeki.
Nenda kamwambie atangaze mali zake tuone Kama hataficha baadhi
Halafu hilo mbwege Kova nina hasira nae dadeki.
Nenda kamwambie atangaze mali zake tuone Kama hataficha baadhi
Hata wakati ule yale mabilioni ya Escrow yanasokomezwa kwenye viroba na masandarusi pale Stanbic na baadaye kupakiwa kwenye malori, intelejensia ya huyo jamaa macho 'kumchuzi' ilikuwa imeenda likizo?Intelijensia yao inaona vyama vya upinzani tu, lakini makontena yanahamishwa na haioni! Intelijensia ya ajabu hii!!
yupo Mara anaendelezaTena tumamshukuru Waziri Kitwanga kwa kupasua jipu la makamanda ka Kova.
Kuna wabambikaji kesi wengi jiji hawa askari.
Mkuu wa kituo cha Wazo miaka michache iliyopita alikamatwa live akijaribu kumbambika askari mstaafu jeshi.
Bahati yake mbaya sana kumbe kuna kijana wa usalama pembeni akiona picha nzima.
Majirani walimshukuru sana yule kijana kwa kuwasambaratisha.
Lakini mwishowe baada ya kufikishwa kwa Kanda Maalum huyo mkuu wa kituo alihamishwa fasta kwenda Manyara hatimaye kanda ya Ziwa.
Mbaya zaidi wananchi wana jua mambo yanayoendelea.
Lazimautakuwa team nyumbu
Kova alikwepa risasi Mbeya.
Kova alikwepa risasi Mbeya.