Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,161
- 10,883
Siku moja kabla Hillary Clinton hajatua Tanzania tetemeko lilitokea na kuleta taharuki kubwa jijini Dar es salaam.Kitu kama hicho kimetokea kule Eritrea mpakani na Ethiopia mara baada ya kufika kwake.Tetemeko lilisababisha mlima ambao haujapatapo kuripuka kutema cheche na matope angani 13.5km kutokana na hasira.
Hali hii imepelekea yule mama kuogopa na kukatisha ziara yake ghafla.
Obama naye alipokwenda Scotland mwezi uliopita yalimtokezea kama hayo.
Sisi wenye imani tunajua hapo kuna ujumbe kwa wenye akili.
Hali hii imepelekea yule mama kuogopa na kukatisha ziara yake ghafla.
Obama naye alipokwenda Scotland mwezi uliopita yalimtokezea kama hayo.
Sisi wenye imani tunajua hapo kuna ujumbe kwa wenye akili.