Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

Irrelevant and immaterial... Umeshafuatilia tafiti za media house hapa nchini? Kaangalie ni TV station ipi inaongoza kwa viewers wengi... Habari ya kuajiri wachaga au wamakonde inaingiaje kwenye huu uzi?
kuwa na viewers wengi haiondoi ukweli kuwa ITV iko bias. kama una chicken head huwezi kunielewa.
Angalia habari za channel ten au Azam TV jinsi zilivyo balance.
 
Rubbish...
najua imekuuma, ngoja tena nikuwekee hapa ili iendelee kukuuma zaidi na zaidi
"""kuwa na viewers wengi haiondoi ukweli kuwa ITV iko bias. kama una chicken head huwezi kunielewa.
Angalia habari za channel ten au Azam TV jinsi zilivyo balance.""""
 
Aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA kwa mwamvuli wa UKAWA na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Mh. Edward Lowassa ameshangazwa na kusikia Mh.Rais Magufuli kutokwenda mpaka sasa kuwapa pole wahanga wa tetemeko la ardhi Bukoba.

Lowasa amesema ilikuwa jambo la busara rais alipoahirisha safari nje ya nchi kutokana na msiba mkubwa lakini aliamini rais asingeishia hapo. Ameongeza kuwa ni utamaduni wa wakuu wa nchi kwenda moja kwa moja kuwafuta machozi wananchi wake pale wanakumbwa na majanga kama yale na ndio maana nchi jirani zilichukulia jambo hili kwa uzito.

Akizungumza ofisi kwake amemshauri rais Magufuli, kama anavyokuwa mwepesi wa kufanyia kazi malalamiko mengine, akawasikilize wahanga kwani kumekuwa na malalamiko mengi juu ya namna rambirambi zilivyotumika.

Lowassa aliulizwa pia kama ana mpango wowote wa kwenda kuwatembelea wahanga, amesema ana mpango huo katika mwezi Januari 2017 lakini anamsihi zaidi Mheshimiwa Rais afike Bukoba.
 
kivipi kwani nani kasema kala hela muongee vitu mkiwa na ushahidi sio unaonge ongea mi mwenyewe simkubali sana ila hawezi kufanya mambo kama hayo
 
Hapo utasikia eti anabana matumizi.Kuna mambo mengine ni lazima Rais ayafanye na sio ishu ya kubana matumizi. Nje ya nchi haendi,bado nchini majanga yanatokea haendi. Ni nini shida? Kama ameweza kwenda Chato likizo ameshindwaje kwenda Kagera? Lazima kuna jambo nyuma ya pazia limejificha,si kawaida hii.
 
Si nimesikia yupo chato kwenye msiba wa fundi wa nguo zake za shule, labda ataenda akitoka huko, tumuombee ili aende kagera
 
kila mtu na kipa umbele chake, kwa mfano kipaumble changu kina weza kuwa kununua na ndege na kushughulikia ndoto za watu, hiyo haiwa zuii wana kagera kufarijiana au kujenga nyumba zao, ukizingatia tetemeko halikuletwa na serikali.
tumuogope Mungu.
 
Tunampongeza Lowasa kwa kutambua kuwa Magufuli ni rais halali aliyechaguliwa kwa kura nyingi na wananchi, tofauti na wengine wanaopayuka kila siku waliibiwa kura..
Ni wapi Lowasa kasema magufuli kachaguliwa kwa kura nyingi? Au huko Lumumba ndo mlishajitoa ufahamu hivyo
 
Back
Top Bottom