jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,735
- 2,808
Mwigulu ni jembe. Mwache apige kazi, hanaga shida na mtu.naona kwa mbaali mwigulu nchemba akipigwa chini
Mwigulu ni jembe. Mwache apige kazi, hanaga shida na mtu.naona kwa mbaali mwigulu nchemba akipigwa chini
Je amefanya research ya kuona level ya satisfaction ya wananchi kwa Huduma wazipatazo kwa Polisi?!Kwani lile ni swala la kijeshi au kipolisi?
Kama ni la kijeshi wanajeshi watahusika!
Kama ni la kipolisi polisi watahusika!
Kama ni TISS nao watahusika!
Unaposema polisi haiaminiki na jamii unaongelea jamii ya wanasiasa walaghai na wasaka kiki wa chadema?
da we jamaa kichwa sana haihitaji PHD kutambua mchana na usku hata mbwa anajua mbona ni ulofa wa cinema ya kipumbavu hivi!shubamitiiiiii!Picha za magufuli ni ngu sana ! Na policcm waliuwawa kibiti hakwenda hata kuwaaga,leo kwa jenerali kavaa mpaka gauni la hospitali si uzandiki wa sinema za yombayomba ni nini ? Hakuna jenerali aliyepigwa risasi anaua soo ya Lisu tu mnafiki wa kiwango cha tope tu huyo.majenerali wana ulinzi Masaa 24,kapigiwa geitini !!! Hao walinzi wanamlinda make wa jenerali chumbani ! Pelekeni ujinga wenu huko,chama cha wasiojulikana nyie.nani mjinga kiasi hicho wakudanganya kama kavaa kijani na njano,anakaa Lumumba ?dhalimu wakubwa wa roho za wapinzani nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa DCI ananiita kwanini Cheo cha Meja General ndio cheo cha mwisho jeshini na mzee huyo mpaka amepata hicho cheo anazijua kwelu silaha lakini ndio mara yake ya kwanza zimekuja upande wake sasa hivi akielezea anaelezea sio kinadharia tenaHalafu mkiitwa kwa DCI mnaanza kuanguka kifafa na kukimbizwa hospitali.
Pathetic swine!
Hata Mungu anajua?Magufuli hajawahi kuhusika kwenye mambo kama hayo kuna vitu vingine ukivifikiria tu unajua ukweli mimi huwezi kunishawishi hata kwa dawa kama Magufuli alihusika, sema vyombo vyote vya serikali lakini Magufuli ni innocent kabisa katika hili hata Mungu anajua.
Mipango mpange wenyewe. Na mjitekenye wenyewe. Mtu kapigwa risasi, akapelekwa hospital madaktari wanamtoa risasi na kumsubiri Magugu aje aonyeshwe risasi tena wanazichezea bila gloves. Hapo evidence itapatikana vipi au Polisi walishajua ni silaha gani iliyotumika wakamwachia dk ili magugu akija aonyeshwe. Kwàni lazima aonyeshwe risasi ndio tutajua kiwa jamaa kapigwa. Huyo hajapigwa kalazwa hapo maksudi ili aue soo ya lisu. Hatudanganyiki bwana magugu wewe na Bashite ni wauwaji wakubwaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) wakioneshwa na Brigedia Jenerali Dkt. Paul Massawe Brigedia risasi zilizotolewa kwenye mwili wa Meja Jenerali Mstaafu Vicent Mritaba baada ya kushambuliwa wakati akiingia nyumbani kwake Ununio wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam...
My Take..Haya matukio ndiyo yanadhihirisha kuwa serikali haihusiki hata kidogo kwa maana sasa yanatokea pande zote ..Tuiombee nchi yetu dhidi ya watu wasiojulikana wenye lengo la kumdhoofiisha rais wetu ndugu John Pombe Joseph Magufuli anayepambana na hii vita ya Uchumi..Ama hakika TutashindaView attachment 587357
Unajisumbua kumtetea mtu usiye mjua kwa kina yawezekana kabisa tena si yawezena ila nidhahiri humjui vyema basi funga safari uje chattle upewe habari.acheni kujipendekeza.Magufuli hajawahi kuhusika kwenye mambo kama hayo kuna vitu vingine ukivifikiria tu unajua ukweli mimi huwezi kunishawishi hata kwa dawa kama Magufuli alihusika, sema vyombo vyote vya serikali lakini Magufuli ni innocent kabisa katika hili hata Mungu anajua.
Itakuwa zilipigwa rapid(mfululizo)Mbonaa matundu nimawil katika vioo cha mbele na cha pembeni tuu hizo nyingine tatu zimepita wap? Au alishuka kujiokoaa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mipango mpange wenyewe. Na mjitekenye wenyewe. Mtu kapigwa risasi, akapelekwa hospital madaktari wanamtoa risasi na kumsubiri Magugu aje aonyeshwe risasi tena wanazichezea bila gloves. Hapo evidence itapatikana vipi au Polisi walishajua ni silaha gani iliyotumika wakamwachia dk ili magugu akija aonyeshwe. Kwàni lazima aonyeshwe risasi ndio tutajua kiwa jamaa kapigwa. Huyo hajapigwa kalazwa hapo maksudi ili aue soo ya lisu. Hatudanganyiki bwana magugu wewe na Bashite ni wauwaji wakubwa
Wewe ulitaka awazeje? Kama wewe, ninyi au wale? Wazo lake limekukaaje? Hatuwezi kufanana kwenye mtizamo japo picha ni moja! Si unajua uzuri au ubaya wa kitu upo machoni mwako! Hata mawazo yapo kichwani mwako!kuwa na MAONI kama yako, yataka moyo.
mimi naona kunahaja yakuwa na mlengo wa panga la shaba kwawatu wenye mawazo kama yako, shame upon you