Sawa Asante.Azam na dstv
Channels zinaandaa vipindi, zinalipa waendesha vipindi, zinalipa several expenses.Channel ndio zatakiwa lipa kwa hao operators
Zile decoder zao zenye rangi ya machungwa na weusi zitakuwa alfu44 bila shaka kwa maelezo yakodecorder yako ile ile wanakupa,tena elfu 25 kwa decorder za rangi ya silver, hizo decorder zingine ni elfu 44
yeah mkuu,zile ni elfu 44Zile decoder zao zenye rangi ya machungwa na weusi zitakuwa alfu44 bila shaka kwa maelezo yako
Kwahyo ukitoa hiyo hakuna masuala ya kulipia tenayeah mkuu,zile ni elfu 44
unapewa miezi miwili ya kifurushi halafu kifurushi kikiisha local channels unaziona bureKwahyo ukitoa hiyo hakuna masuala ya kulipia tena
Wanafanya kweli mkuu? Wewe si umeshafanya hivyo hawana longolongo labdaunapewa miezi miwili ya kifurushi halafu kifurushi kikiisha local channels unaziona bure
NairobiKBC yetu naipata wapi?
Wewe Binti!Nairobi
Naunga mkono hoja. Kwangu nime block chanel ya taifaKwanini tbc pekee? Nawashauri wenye hivyo vingamuzi nao waiondoe tbc kwenye vingamuzi vyao