TCRA yaiamuru Star Tv kurudi Star Times kabla ya 10 jioni leo!

Asante prof kwa kusikia kilio cha watanzania hasa kupitia jf. hili swala limejadiliwa karibu siku tatu jf na tumeona matunda yake. jf daima.

Pia hawa star tv walitakiwa wawapeleke mahakamani hao star times kama walikihuka makubaliano au kama walitumia maudhui ya vipindi vyao bila idhini yao na huko haki ingepatikana.

Na hawa star tv wanatakiwa kujua kuwa swala la kuonesha hizo channeli muhimu si matakwa bali ni lazima na uanpo jitoa unawakomoa wananchi na si star times.

Kama wanafikiri star times walikihuka makubaliano kwa nini wasi waburuze mahamani ili wapate haki yao?
 
prof anamjua Dialo au anamsikia, ngoja uone kama watarudi maana mpaka jana walikuwa wameshaitoa, sijui kama watairudisha
 
Kuna kitu hapa kimejificha na TCRA hawataki kutuambia.
Ni kwanini Star Tv waliamua kujitoa startimes?
 
bongo umbea tu hamna lolote katika mbona multichoice wanatesa tu na hawajai kuwaambia chochote.
 
mbona hawaliagizi bunge liruhusu vyombo vyote bya habari virushe matangazo ya bunge?
 
some one is doing his Job right here. toka huu mwaka uanze sijaona serikali inafanya maamuzi, leo imeona jua.
 
uhusiano kati ya china na tanzania utakufa hivyo .................................................................................... !!!!!?????!!!
lazima bango walishikilie kweli
 
good newz,...at least tcra wamejaribu kutoa maamuzi magumu na mazuri i.e for public interest.

Star tv wanafki, wao pamoja na kile kinachoitwa MOATwalijidai mwanzo kutetea haki ya kupata habari wakisema ving'amuzi vya star times havifai, havionyeshi vizuri na hivyo irudi analogy kisa haki ya kupata habari Leo wanajitoa wakitanguliza maslahi yao kibiashara na si tena haki ya wananchi (masikini) kupata habari. Unafiki wa kusingizia unatetea haki za masikini unagharama zake.
 
mbona hawaliagizi bunge liruhusu vyombo vyote bya habari virushe matangazo ya bunge?

wanasema eti bunge la siku hizi ni kichocheo cha vurugu nchini hivyo likirushwa live na vyombo vyote watashindwa kuwaambia kukata kata ukweli utakaowaumiza ccm au pale wanapowaonea wapinzani au pale wanapoumbuliwa na wapinzani.
 
Bado digital level ya Star times ni ya chini sana kama analogy tu hilo pia wasamiwe ili watoe huduma!
 
Hata kama hawana lo lote hao star time, pamoja na kero zao, hata hivyo Star TV hawana right ya kujiondoa kwenye king'amuzi ambacho ni haki yetu kuwaona. Juzi ilibidi nihamie kwenye king'amuzi cha DSTv kwa kuwa there was a programme nilikuwa naangalia Star TV kupitia hicho king'amuzi. Afadhali.

"Watanzania watu wa ajabu sana, wako kutetea vitu ambavyo hata anayefaidika hawamjui. Tumezoea mob saikoloji hiyo continental mi nimenunua channel zinazoshika ni 4 tu watu hawalalamiki kwa vile sio wengi walio nayo. Acheni taratibu zifuatwe.
 
Star times , TCRA wote lao moja. TCRA huwa hawaangalii TV waone watu wanavyokatikakatika na star times???? kazi kutoa matamko tu quality kwao zero.


Tunadanganyana tu, wenzetu wana DSTV.....tena fully paid kwa mwaka mzima. Sie ndio tunabaki na kwikwi za startimes...
 
Waulizeni TCRA inakuwaje sub-contractors wa network za makampuni ya simu wanapunguza wafanyakazi wao kwa vile wanahamishia kazi zao nje ya Tanzania hasa India yaliko makao yao makuu na ku-monitor network wakiwa huko ilhali makampuni ya simu yako Tanzania? Je sheria ya mawasilaino inaruhusu? Na pili kama inaruhusu/hairuhusu wao wakiwa regulatorrs wanafanya nini?

Manake ni kufanya watanzania waliosoma telecom wakose cha kufanya na pia ni hatari kwa usalama wa mawasiliano ya nchi.
 
Back
Top Bottom