TCRA Mko wapi Jamani? Voda wanazidi kutufanya Maskini!

umenifurahisha. Punguza hasira.
Sio hasira mkuu wangu,
Bora hata Tshs 550/= ingekua inaenda kwa jambo la msingi, pengine kuchangia hata waathirika wa Ajali ya Meli Zanzibar, Gongo la Mboto n.k.
But sio mambo ya kuambiana "sishikiki" ndio nikatwe hela yote hiyo, hata kama sishikiki wao inawahusu nini?
Huu uhuni huu!!!
 
Tatizo si voda, ni wewe mwenyewe. Ulijiunga mwanzoni.
Sawa, si ndio
nimeona hapanifai naamua kujitoa sasa??
Kwanini wananing'ang'ania sasa?
Kwani ni kifo hiki kwamba ukishakufa hufufuki tena sasa?
 
Waandikie "Mnikome Kabisa" Kwenda Namba Husika, Kweli Voda Com Kaazi Ni Kwako.
 
Ni kweli Mkuu tatizo unalikabili!! mimi pia nilikuwa na tatizo na NMB Mobile yanguambapo waliamua ghafla kuifunga password yangu hivyo nikawa siwezi ku access account yangu, especially ninakuwa vijijini. Nilichofanya nikaamua kutafuta namba za NMB HQ, bahati nzuri wakati niko JF kwa kutumia mobile yangu nikapata contacts zao (e-mail na na.za simu) nikawapigia kuwauliza kwa nn wanafunga password yangu without notice? bahati nzuri mkubwa mmoja akawa anasikia mazungumzo yetu na nadhani walipata kibano kikali maana nilishangaa ndani ya siku moja nikapigiwa simu nyingi sana kutaka kujua tatizo langu na kama limetatuliwa. Tafuta namba zao uwapigie!!

Tatizo halitatuliwi kwa kulikimbia,
Wacha kukariri wewe!!
 
Back
Top Bottom