BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Ahaaaa! Kwa hiyo huo utaratibu wa kutoa exemption kuhusu umri upo sasa kama upo ni kwanini TCAA jana hawakutoa exemption hiyo? Walitumia vigezo vipi kufikia hitimisho la kutotoa kibali? Tusubiri ili tujue kama wanaostahili kulaumiwa ni Chadema au TCAA walipokea maagizo toka mamlaka za juu?
Wao wanachoangalia ni pesa..ndio maana umeona wameomba exemption..
Serikali haifanyi kazi kwa makisio au kubahatisha kwamba atawaendesha tu mbona amesema anaweza.