Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Bila shaka na wewe umathirika sana na hii huduma ya serengeti mkuu Balantanda!
Umeona mwananchi ya leo wanavyojaribu kutu-fool hawa TBL, ama kweli wameishiwa. Kizuri chajiuza bwana, wanalalamika eti Serengeti haipaki rangi kwenye mabaa kama ofa kwa wamiliki na kutoa mafunzo kwa wahudumu ndio maana haiuzwi, WHAT A SHIT! Pumba tupu, CHUI anachanja mbuga haitaji promo Za majitaka!
Hizo ni dalili kwamba TBL wameshindwa Vita ya ushindani na SBL.Cha msingi wakae chini na kujiuliza ni wapi wamekwama/wameshindwa badala ya kutumia hizo MBINU CHAFU kabisa ambazo haziruhusiw/hazitakiwi katika USHINDANI HURU wa kibiashara(kama vp wabadilishe watu wote wa kwenye vitengo vyao vya masoko maana waliopo tayari wameonesha kushindwa,wameshindwa kuitumia elimu yao/wanaidhalilisha TAALUMA yao kwa kutumia MBINU chafu kama hizi,hao akaina SHELUKINDO&co waondolewe,wawekwe wengine) otherwise hawatafika mbali,SBL itazidi kupaa na kupaa na wao(TBL) watazidi kufulia....Taratibu naliona ANGUKO la TBL