SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
TBC1 jana ucku ilitangaza kuwa mgomo umeisha uku waziri wa elimu akitoa habari izo izo za uwongo ila kiukweli mpaka sasa leo ni siku ya tatu wanafunzi bado wamegoma kwenda madarasani wakishinikiza waliofukuzwa chuo akiwemo raisi wa kitivo cha sayansi na jamii warudishwe.My take;TBC1 wamepoteza mwelekeo na kuamua kuwadanganya watanzania so wanafunzi wamepanga kutoa ukweli na hitma ya madai yao ya field.