The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Jamani sina uhakika na hawa tbc one na jinsi wanavyoaandaa vipindi vyao
vya tv lakini kilasiku kuna makosa ya kipuuzi hadi unajiuliza
kama kuna watu serious pale....
Waliotazama taarifa ya habari ya jana tarehe 06/july saa mbili usiku
matakubalina na mimi kwamba hawa watu hawapo serious kabisa....
Yaani kwenye habari za kitaifa walionesha na kuripoti kuwa
ris wa brazil aemewasili tanzania na atakuwa mgeni rasmi
wa maonesho ya sabasaba leo tarehe 07/07...
Na oicha za tv zinamuonesha rais wa brazil amewasili airport darsalaam....
Sasa cha ajabu kwenye habari za africa mashariki tena wakaripoti
kuwa rais kibaki anampokea rais huyo huyo wa brazil kwa ziara ya siku mbili
nchini kenya.......yaani habari imetangazwa kama vile ni tukio la siku hiyo hiyo...
Nimebaki mdomo wazi na tbc one.........
vya tv lakini kilasiku kuna makosa ya kipuuzi hadi unajiuliza
kama kuna watu serious pale....
Waliotazama taarifa ya habari ya jana tarehe 06/july saa mbili usiku
matakubalina na mimi kwamba hawa watu hawapo serious kabisa....
Yaani kwenye habari za kitaifa walionesha na kuripoti kuwa
ris wa brazil aemewasili tanzania na atakuwa mgeni rasmi
wa maonesho ya sabasaba leo tarehe 07/07...
Na oicha za tv zinamuonesha rais wa brazil amewasili airport darsalaam....
Sasa cha ajabu kwenye habari za africa mashariki tena wakaripoti
kuwa rais kibaki anampokea rais huyo huyo wa brazil kwa ziara ya siku mbili
nchini kenya.......yaani habari imetangazwa kama vile ni tukio la siku hiyo hiyo...
Nimebaki mdomo wazi na tbc one.........