Nimeshangaa kipindi cha leo asubuhi cha jambo live kuona mwakilishi wa commonwealth kuulizwa maswali na mtangazaji wetu Gabriel zakharia kwa kiswahili halafu yeye anajibu kiingereza. Hivi tbc wamemleta huyu mtu aje awaelimishe tbc au watanzania? Lakini kingine kilichonishangaza ni kuona huyu mwakilishi akiulizwa swali kiswahili bila kutafsiriwa huku yeye akijibu kwa kiingereza amewezaje kuelewa???