TB Joshua....Emmanuel TV

everything is insided of u,so kama watu wansema alikamatwa na sembe...what do u say?...Faith is a key to every locked gate!
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...
 
Elli asante kwa ushauri huu kwa ajili pia yetu wote,
Maombi ni kitu cha ajabu sana;
hasa maombi ya machozi huwa yanajibiwa wakati huo huo;

Kuna wakati tulikuwa tunaamshana kwa ajili ya kumwombea mwanafamilia mmoja aliyepata
virusi hautaamini lakini nakuambia kuwa yule kijana alipona hii iliwashangaza hata
madaktari waki;lakini Mungu wetu ni Mwaminifu huwa anasikia maombi yetu
na kuyajibu

Nisamehewe kama nakosea, but kwangu mimi huwa napenda kuwa na mahusiano binafsi na MUNGU na ambayo sitaki yawe influenced na vitu vingine, mimi nina mifano yangu binafsi ya KUMUONA MUNGU katika maisha yangu ya kila siku, hata kazi niliyonayo hii sikufanya Interview na ilikua in the last last minute, nimetangaza ndoa, sina kazi na muda umekaribia! Napata kazi kwa urahisi tu, huu ni mfano mdogo sana kati ya mingi. Usikubali kuweka middleman kwenye relation yako na MUNGU wako, hata ukienda kuombewa kumbuka na wewe kuomba mwenyewe! Tuache uvivu wa kutaka kufanyiwa kila kitu.

Ushauri wangu, subiri wakati wa MUNGU ufike, simaanishi kwamba usi-struggle No No wakati wa MUNGU unafika kwa wewe pia ku-struggle, work hard lakini pia mkumbushe MUNGU, mweleze, amka usiku omba, sali, kabla ya kulala mshukuru MUNGU ukiamka do the same, you dont need a two hour prayer or fifteen minutes praying NOP, na katika maombi yako ACHA KULALAMIKA bali mshukuru MUNGU kuwa wewe umzima na kwamba japo umzima lakini kuna mambo pia ungeyapenda uyaone kwa macho ya nyama (hapa wengi hua tunakosea kwasababu tunaomba vitu au kazi ili kuwakomoa wengine, ndugu yangu ukishaweka hayo mawazo sahau) maana MUNGU hataruhusu akupe vitu ambavyo vitakufanya uache ulokole wako au mapenzi yako kwa MUNGU yapungue, umeomba kazi, umepata kazi, sasa kuabudu hutaki kwasababu uko BUSY na KAZI, Mpuuzi wewe, MUNGU atachukua kazi hio na hutakua na cha kusema.

CC: Mamndenyi Aine ladyfurahia Mtambuzi na wapendwa wengine
 
Last edited by a moderator:
umenitaja sijakuelewa ila nimesoma comenti yako imenigusa
Nisamehewe kama nakosea, but kwangu mimi huwa napenda kuwa na mahusiano binafsi na MUNGU na ambayo sitaki yawe influenced na vitu vingine, mimi nina mifano yangu binafsi ya KUMUONA MUNGU katika maisha yangu ya kila siku, hata kazi niliyonayo hii sikufanya Interview na ilikua in the last last minute, nimetangaza ndoa, sina kazi na muda umekaribia! Napata kazi kwa urahisi tu, huu ni mfano mdogo sana kati ya mingi. Usikubali kuweka middleman kwenye relation yako na MUNGU wako, hata ukienda kuombewa kumbuka na wewe kuomba mwenyewe! Tuache uvivu wa kutaka kufanyiwa kila kitu.

Ushauri wangu, subiri wakati wa MUNGU ufike, simaanishi kwamba usi-struggle No No wakati wa MUNGU unafika kwa wewe pia ku-struggle, work hard lakini pia mkumbushe MUNGU, mweleze, amka usiku omba, sali, kabla ya kulala mshukuru MUNGU ukiamka do the same, you dont need a two hour prayer or fifteen minutes praying NOP, na katika maombi yako ACHA KULALAMIKA bali mshukuru MUNGU kuwa wewe umzima na kwamba japo umzima lakini kuna mambo pia ungeyapenda uyaone kwa macho ya nyama (hapa wengi hua tunakosea kwasababu tunaomba vitu au kazi ili kuwakomoa wengine, ndugu yangu ukishaweka hayo mawazo sahau) maana MUNGU hataruhusu akupe vitu ambavyo vitakufanya uache ulokole wako au mapenzi yako kwa MUNGU yapungue, umeomba kazi, umepata kazi, sasa kuabudu hutaki kwasababu uko BUSY na KAZI, Mpuuzi wewe, MUNGU atachukua kazi hio na hutakua na cha kusema.

CC: Mamndenyi Aine ladyfurahia Mtambuzi na wapendwa wengine
 
kwa nini usisimame mwenyewe katika imani.....hebu simama katika huu mstari uone kama hujapata kazi ndani ya wiki.......

John 14:13-14
And I will do whatever you ask in my name, so that the father may be glorified in the Son
If you ask me anything in my name, I will do it

HILI DOZI IWE KAMILI ONGEZEA NA HII:

Mark 11:24
"Therefore I tell you,whatever you ask for in prayer BELIEVE that you have received it, and it will be yours"
 
Asante sana Melj.....nashukuru. Na ninaomba Mungu anisamehe kwa hilo koz watu wengi wameelewa kwamba nawakebehi au kuwadharau watumishi wa Mungu.Nilimaanisha mbona sifanikiwi na mimi?..Namuomba Mungu aliyekufanikishia muujiza wako afanye na kwangu pia..katika jina la Yesu Amina. Asante Yesu kwa kua unakwenda kutenda sasa kama Melj ulivyomfanikishia.

nitajitahidi sana na namuomba Mungu aniwezeshe pia nikukumbuke kwenye maombi.
 
kb52,
hebu ingia hapa https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/497303-je-wewe-ni-mhasibu-tuma-cv-faster.html
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...
 
Last edited by a moderator:
Jana kabla sijalala...nilishika screen wakati TB Joshua anawaombea viewers...nikatetemeka mwili. Nashangaa leo. ..naitwa interview TRA. MUNGU ANIPIGANIE NIIPATE KAZI HIYO. AMINA.
 
Ni kweli...huwezi kuamini. Nilijiona kama mwili unavibrate....kama kitu kinapita. Trust me...it happened!!
 
Back
Top Bottom