everything is insided of u,so kama watu wansema alikamatwa na sembe...what do u say?...Faith is a key to every locked gate!
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...