Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
-Jipatie Canal+ HD decoder uweze kuburudika katika msimu huu wa ligi mbalimbali kwa sh 195,000 (ikijumuisha ufundi+ kifurushi cha kuanzia)
-Utaweza kuona ligi za Uingereza (EPL), Ufaransa(League 1), Laliga, UEFA,Europa na zinginezo.
-Mashindano mbalimbali ya tennis(Wimbledon, ATP Masters 1000), mpira wa kikapu (NBA), rugby, mashindano ya magari (Formula 1), mieleka (WWE) nk.
-Yote haya utayaona kwa channel za Canal 1,2,3 na 4 zote zikiwa HD
-Malipo ya kifurushi cha Canal ni 45,000 tu kila mwezi.
NB.
-Matangazo ya mpira na live events zingine ni kwa lugha ya kifaransa.
-Bei hii haijumuishi dish
Simu: 0764453848
MKuu huu ni upotoshaji na mnawaingiza cha kike wasio jua.
Kuna jamaa yangu kafunga hii, hizi International mechi zote hakun hata moja.
hata hizo EPL ni chache tu sio zote.
Kifupi mnawapiga wajinga wasio jitambua.
bado DSTV haina mbadala.
Tuendelee kumuombea AZAM afike hata nusu ya DSTV huko mbeleni.