Tatua tatizo la uume mdogo

Yaani watu wanahangaika na dushe kubwa hivi hao wazee wa zamani walikua na kama za punda? Na kwa nn tatizo lionekane kwenye udogo wa mchi, vp kuhusu ukubwa wa kinu?
Ni kweli mkuu vinu vya kisasa vimekuwa vikubwa sana utakuta mtoto wa miaka 18 ana kinu hata uje na inch ngapi mchi bado anataka iingie zaidi
Sasa sijui ni hivi chips maana ndio chakula kikuu kwa sasa
Michi ni ile ile ila vinu vimepanuka sana kwa hiyo ili kufuatsna navyo inabidi tutumie njia ya kukuza ya ustadh .... haltiti
 
Vipo vitu wanatumia mkuu kuweka huko mahala (UKENI) na huwa inarudi katika usichana mkuu.

Kwa maelezo zaidi namkaribisha hapa na si mwengine bali ni mkuu dadu.

Karibu Sana mkuu.
Mkuu mm ninawakaribisha kwa wale wanaotaka irudi kama msichana kuna vitu vyake ni pm nitakujuza
 
ASSALAMU ALAIKUM
Nakupongeza kwa utafiti na ubunifu wa tiba yako.
Ndugu Ustadh kuwa na uume mdogo au mkubwa siyo kasoro ni maumbile mtu aliyoumbiwa na MUNGU.
Basi kwa nini kuna watu warefu na wafupi?Wanene na wembamba?
Je unaweza kuongeza kimo cha mtu mfupi? Au kupunguza kimo cha mtu mrefu?
Kwa maumbile hayo tuliyoumbiwa isipokuwa tu kwa wenye matatizo ya afya, yatupasa tuzingatie yafuatayo;
Kwanza, Jikubali na ridhika na jinsi ulivyo.
Pili, jiamini kwamba wewe ni mkamilifu na unaweza.
Tatu, Jitahidi kuwa mbunifu jinsi ulivyo.
Kwa kuzingatia hayo bila kujali maumbile yetu mmoja anaweza kufanya chochote kilicho chema kwa UFANISI ULIO TUKUKA.
Ni sawa unalosema lakini ukikutana na kinu kikubwa na ukashindwa kuhimili hicho kinu mchi wako ni ndogo sana
Si utaona aibu mkuu
Waweza kuacha mke ukifanya mchezo
Game yataka uwiano sawa au umzidi kwa kuwa wao wanaflexible .. inatanuka
 
Ni kweli mkuu vinu vya kisasa vimekuwa vikubwa sana utakuta mtoto wa miaka 18 ana kinu hata uje na inch ngapi mchi bado anataka iingie zaidi
Sasa sijui ni hivi chips maana ndio chakula kikuu kwa sasa
Michi ni ile ile ila vinu vimepanuka sana kwa hiyo ili kufuatsna navyo inabidi tutumie njia ya kukuza ya ustadh .... haltiti

Naam mkuu unalosema ni kweli kabisa kiongozi. Uko sahihi mkuu.
 
Tunamshukuru ostaz hatimae vibamia vyaelekea kuwa historia hashtag#tartiti at work#hashtag

Shukran mkuu ila matatizo hutofautiana kiongozi yategemea na mtu imemuathiri vipi hiyo hali.

Na dawa haipo moja kwa hiyo ngoja tupate majibu toka kwa wagonjwa walioanza tiba ili tuone matokeo yamekuwaje baina ya watu waliotumia tuweze kumshkuru MUNGU kwa sababu yeye ndiye anayemfungua mtu kwa kumpa ujuzi na ufaham wa tiba juu ya magonjwa tofauti tofauti mkuu.

Shukran Sana. Karibu.
 
Sio Hatiti ni Hartiti mkuu.
Kiongozi!
Bila shaka hii ndio Hartiti.
WhatsApp Image 2016-10-12 at 11.39.57.jpeg
 
Back
Top Bottom