lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
NAUNGA MKONO HOJA MKUU! Hiyo ni mambo ya ajira2!huu ni ubunifu kwa ajiri ua walinzi na mabossi wanaotaka kuonekana wanamacho kila kona, kwa mapolisi nayo ingekua poa zaidi
simo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
Lol!!
Afadhali nimwone mimi lakini si watoto maana hawatalala. Kila mara watakuwa wanaweweseka na woga+hofu vikiwashika. Inatisha!!
huu ni ubunifu kwa ajiri ua walinzi na mabossi wanaotaka kuonekana wanamacho kila kona, kwa mapolisi nayo ingekua poa zaidi