EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Jana baadhi ya waandishi wa habari walitembelea Songosongo ili kujionea uzalishaji na usafirishaji wa gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme. Mojawapo ya taarifa zilizotolewa ni kwamba kwa sasa gesi inayofikishwa Dar es salaam haitoshelezi hata mitambo ya Songas ya sasa. Wiki iliyopita Waziri mkuu alitoa ahadi ya kutatua tatizo la umeme kufikia mwezi wa nane kwani tayari mitambo ya gesi ya kuzalisha MW100 imeagizwa, sasa napata taabu kidogo hapa.....................Je kuna uhalisia wa dhamira katika hili?