mi niko msasani; je huu ueme kukatikakatika ni kwetu tu au wengine pia?
Mike 1234, sio kuwa nani boss kuliko mwenziwe baina ya Waziri na boss wa Tanesco.usipime si kwenu tu kwetu ni kila siku na kila wakati sisi tumesha zoea hapa ustawi tunashindwa hata kusoma kagenerator kakizimwa basi na inavyo onekana bosi mkuu wa tanesco naona madaraka kuliko hata waziri alisema tutakaa gizani na ndo analolifanya,manake ye waziri alisema hatuwezi kuwa gizani,lkn tupo gizani sasa nani boss hapo?