manchester
Member
- Sep 3, 2010
- 54
- 3
mefurahi kumskia waziri husika leo akitamba redioni ya kwamba transformer zilizokuwa zimeharibika zitafungwa mpya hapo kesho.. Jamani watanzia tushafika sehemu siasa ziwekwe kando na utendaji uchukue sehemu yake inamuhia ugumu gani kutamka tranfomer zitakazofungwa ni zile zile zamani na si mpya na huyo aliyetumwa kufuatilia transofma mpya china amefikia wapi na ni kweli mgao hautakuwepo mbona kuna kila dalili ya mgao mkubwa kuja karibuni...Nawakilisha