Tatizo la Nchi yetu Wanahabari wote ni CCM na sasa sekta imetekwa na Waigizaji. Chadema anzisheni Media yenu mtufikie kiuhakika

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,148
Ni ukweli ulio wazi kuwa Waandishi wa habari ni watu wanaosubiria Teuzi na kwa maana hiyo ni wana-CCM.

Chadema wamefanya operesheni +255 lakini hakuna chombo cha habari makini kilichoripoti positively sana sana kuna Gazeti liliripoti mgogoro wa Mbowe na Tundu Lisu katikati ya operesheni

Niwashauri tu Chadema na ACT Wazalendo waanzishe media zao kama kweli Wana nia ya kuwafikia Wananchi

Nawatakia Dominica Njema!
 
Hao ni watu wanaoandika habari lakini siyo waandishi wa habari. Waandishi wa habari wana ethics zao. Hao wanaoandika upotoshaji au kuamua jambo fulani waandike au wasiandike, ni kundi fulani la watu wanafiki waliamua kujitumbukiza kwenye tasinia ya habari kutimiza malengo yao.

Vyama vya siasa, havina haja ya kuwa na vyombo vya habari, labda vyombo vya propaganda za siasa za vyama vyao.

Nchi yetu, kwa kiasi kikubwa inakosa vyombo vya habari katika maana halisi. Vingi vilivyopo vinatumila kama vyombo vya propaganda vya chama tawala au vinasubiri kutumika na chama tawala ili kupata manufaa binafsi.
 
Hao ni watu wanaoandika habari lakini siyo waandishi wa habari. Waandishi wa habari wana ethics zao. Hao wanaoandika upotoshaji au kuamua jambo fulani waandike au wasiandike, ni kundi fulani la watu wanafiki waliamua kujitumbukiza kwenye tasinia ya habari kutimiza malengo yao.

Vyama vya siasa, havina haja ya kuwa na vyombo vya habari, labda vyombo vya propaganda za siasa za vyama vyao.

Nchi yetu, kwa kiasi kikubwa inakosa vyombo vya habari katika maana halisi. Vingi vilivyopo vinatumila kama vyombo vya propaganda vya chama tawala au vinasubiri kutumika na chama tawala ili kupata manufaa binafsi.
Vyombo vya habari vya kuendesha michezo ya kamari havina maana yoyote bora vifutwe wote tuanze upya.
 
Vyombo vya habari vya kuendesha michezo ya kamari havina maana yoyote bora vifutwe wote tuanze upya.
Tbc haswa fm hakuna content Tena , ni mwendo wa cheza pesa , umbea umbea na majungu ... Yaani topic hot labda ni mambo ya mapenzi mapenzi na kamari tu. Na pia ukiwasikiliza watangazaji wengi utagundua Kuna vitu Wana mis sana vya kitaaluma na wengi ni weupe kichwani.
 
Tbc haswa fm hakuna content Tena , ni mwendo wa cheza pesa , umbea umbea na majungu ... Yaani topic hot labda ni mambo ya mapenzi mapenzi na kamari tu. Na pia ukiwasikiliza watangazaji wengi utagundua Kuna vitu Wana mis sana vya kitaaluma na wengi ni weupe kichwani.
Ni kweli vyombo vya habari kwa sasa vimepoteza maana, 24 hrs wanaongelea kamari, mpira, Mziki na mapenzi hawatoki kwenye hizo mada.

Wakibadili sana ni matukio ya kawaida ya viongozi na matukio jinai.

Lakini kila baada ya dakika moja kuna tangazo la kamari.

Vyombo vya namna hii bora vifutwe tu, tuanze upya.
 
Ni kweli vyombo vya habari kwa sasa vimepoteza maana, 24 hrs wanaongelea kamari, mpira, Mziki na mapenzi hawatoki kwenye hizo mada.

Wakibadili sana ni matukio ya kawaida ya viongozi na matukio jinai.

Lakini kila baada ya dakika moja kuna tangazo la kamari.

Vyombo vya namna hii bora vifutwe tu, tuanze upya.
Inatia hasira sana .. hakuna hata kujadili critical issues za kitaifa kwa maslahi mapana ya nchi. Mwendo ni kujadili Mambo ambayo hayana msaada kwa jamii in long run
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa Waandishi wa habari ni watu wanaosubiria Teuzi na kwa maana hiyo ni wanaccm

Chadema wamefanya operesheni +255 lakini hakuna chombo cha habari makini kilichoripoti positively sana sana kuna Gazeti liliripoti mgogoro wa Mbowe na Tundu Lisu katikati ya operesheni

Niwashauri tu Chadema na ACT Wazalendo waanzishe media zao kama kweli Wana nia ya kuwafikia Wananchi

Nawatakia Dominica Njema!
Mafisadi walioshika madaraka walianza na kuvitisha, kuvihonga na kuvifiisi vyombo vya habari ili visiweze kufichua Madudu yao. Siku hizi karibu kila gazeti kwenye front page lazima yaweke habari ya kumsifia Samia. Radio one hao kila baada mda lazima waweke nukuu za Samia. Njaa kitu kibaya sana
 
Mafisadi walioshika madaraka walianza na kuvitisha, kuvihonga na kuvifilOisi vyombo vya habari ili visiweze kufichua Madudu yao. Siku hizi karibu kila gazeti kwenye front page lazima yaweke habari ya kumsifia Samia. Radio one hao kila baada mda lazima waweke nukuu za Samia. Njaa kitu kibaya sana
Dah kama tibisii ndio propaganda state media .. Kuna yule mzee wa tafakuri dah sijui analipwa kwa kazi ile . Kusifia kila kitu Cha serikali hata kama hakihitaji sifa.
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa Waandishi wa habari ni watu wanaosubiria Teuzi na kwa maana hiyo ni wanaccm

Chadema wamefanya operesheni +255 lakini hakuna chombo cha habari makini kilichoripoti positively sana sana kuna Gazeti liliripoti mgogoro wa Mbowe na Tundu Lisu katikati ya operesheni

Niwashauri tu Chadema na ACT Wazalendo waanzishe media zao kama kweli Wana nia ya kuwafikia Wananchi

Nawatakia Dominica Njema!
Kwa Sheria zipi ili waanzishe vyombo vyao vya habari viweze kuwa na maana!
 
Inatia hasira sana .. hakuna hata kujadili critical issues za kitaifa kwa maslahi mapana ya nchi. Mwendo ni kujadili Mambo ambayo hayana msaada kwa jamii in long run
Inasikitisha sana na sijui hali hii umesababishwa na nini 2007 hadi 2015 vyombo vya habari vilikuwa serious sana imekuwaje vimebadilika na kuwa na macasino ya kuchezesha kamari ??
 
Inasikitisha sana na sijui hali hii umesababishwa na nini 2007 hadi 2015 vyombo vya habari vilikuwa serious sana imekuwaje vimebadilika na kuwa na macasino ya kuchezesha kamari ??
Social media happened. Smartphones zimezagaa sana
Social media imeua vyombo vya habari.
Watu wako busy na Instagram,JF,Youtube na Tiktok. Watu tena hawapay attention kwa Tv na Radio kama zamani.
Kwahyo uhai wa vyombo ukawa unapumulia mtungi.

Kujikwamua kutoka kufirisika ikabidi wajiingize kwenye biashara ya kamari ili kuendesha makampuni.
 
Ni kweli vyombo vya habari kwa sasa vimepoteza maana, 24 hrs wanaongelea kamari, mpira, Mziki na mapenzi hawatoki kwenye hizo mada.

Wakibadili sana ni matukio ya kawaida ya viongozi na matukio jinai.

Lakini kila baada ya dakika moja kuna tangazo la kamari.

Vyombo vya namna hii bora vifutwe tu, tuanze upya.
Labda kamari zinawaingizia pesa nyingi wahusika ambao ndio wangeweza kuvifuta !
 
Labda kamari zinawaingizia pesa nyingi wahusika ambao ndio wangeweza kuvifuta !
Vyombo vya habari havipaswi kuwa hivi labda kama kimeanzishwa kwa lengo hilo.

Ukifungua tv za Tanzania ukaangalia kwa 12 hrs ni aibu mno.

Watangazaji wa kike wako uchi uchi tu, muziki wanapiga una adult content lakini hawatoi warning yoyote watoto watajifunza nini kwenye tv za namna hii ?

Muda wote wanacheza matangazo ya kamari tu.

Mbona tumekuwa nchi ya hovyo namna hii
 
Social media happened. Smartphones zimezagaa sana
Social media imeua vyombo vya habari.
Watu wako busy na Instagram,JF,Youtube na Tiktok. Watu tena hawapay attention kwa Tv na Radio kama zamani.
Kwahyo uhai wa vyombo ukawa unapumulia mtungi.

Kujikwamua kutoka kufirisika ikabidi wajiingize kwenye biashara ya kamari ili kuendesha makampuni.
Kwani hawakuona ubunifu mwingine wa kuongeza viewers na listeners badala ya kufanya kamari kwenye vyombo vya habari ?
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa Waandishi wa habari ni watu wanaosubiria Teuzi na kwa maana hiyo ni wanaccm
Sii kweli, waandishi wana CCM wapo ila waandishi wa vyama vingine pia wapo, na hata sisi waandishi tuliomo CCM, sii kweli wote tunamendea teuzi, mfano mzuri ni mimi.
Chadema wamefanya operesheni +255 lakini hakuna chombo cha habari makini kilichoripoti positively sana sana kuna Gazeti liliripoti mgogoro wa Mbowe na Tundu Lisu katikati ya operesheni
Ukiona tukio haliripotiwi kikamilifu ujue sio issue!.
Niwashauri tu Chadema na ACT Wazalendo waanzishe media zao kama kweli Wana nia ya kuwafikia Wananchi

Nawatakia Dominica Njema!
Huu ni ushauri mzuri, hata mimi pia niliwashauri. Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
P
 
Ni ukweli ulio wazi kuwa Waandishi wa habari ni watu wanaosubiria Teuzi na kwa maana hiyo ni wanaccm

Chadema wamefanya operesheni +255 lakini hakuna chombo cha habari makini kilichoripoti positively sana sana kuna Gazeti liliripoti mgogoro wa Mbowe na Tundu Lisu katikati ya operesheni

Niwashauri tu Chadema na ACT Wazalendo waanzishe media zao kama kweli Wana nia ya kuwafikia Wananchi

Nawatakia Dominica Njema!
Mwanacho na Raia Mwema yamekuwa magazeti ya hovyo sana siku hizi bahasha zimewapofua
 
Back
Top Bottom