Mbilimbili
Senior Member
- Mar 17, 2012
- 172
- 19
Nina rafiki yangu ambaye alijaliwa kuwa na mtoto toka 2008, shida anayopata ni kwamba huwa anasumbuliwa sana na kuumwa Tumbo. Haijalishi amekaribia siku zake za mwezi (menstruation cycle) huwa inamuuma wakati wowote, japo hospital amekwenda sehemu tofauti tofauti ila hawaoni ugonjwa wowote.