Tatizo la kutokwa na damu ukeni siku ambazo sio za hedhi

amoc thedon

JF-Expert Member
Jul 19, 2016
293
464
Nina rafiki angu ameingia period tarehe 27/03 na akamaliza vizuri.

Sasa leo amenitafta anaomba ushauri kua anatokwa na dam tangu juzi mpaka leo yaan siku 3 sasa kuanzia tarehe 8/04.

Hapa amechamganyikiwa hajui tatzo ni nini ila anadai damu inatoka kidog kidog sana na inakua na weusi flani
Nimejaribu kumwuulza kama amefanya chochote kisicho cha kawaida, akasema week ilo pita alikutanana na boy friend wake wakafanya mapenzi bila Kinga na matokeo yake akameza P2 na anadai kua hio ndo mala yake ya kwanza kutumia hivyo vidonge.

Naombeni ushauri je hili ni tatzo ama ni mambo ya kawaida tu ? Maan kuna mda anahic labda ni unauzito umetunga nje ya kizazi
 
Nina rafiki angu ameingia period tarehe 27/03 na akamaliza vizuri.

Sasa leo amenitafta anaomba ushauri kua anatokwa na dam tangu juzi mpaka leo yaan siku 3 sasa kuanzia tarehe 8/04.

Hapa amechamganyikiwa hajui tatzo ni nini ila anadai damu inatoka kidog kidog sana na inakua na weusi flani
Nimejaribu kumwuulza kama amefanya chochote kisicho cha kawaida, akasema week ilo pita alikutanana na boy friend wake wakafanya mapenzi bila Kinga na matokeo yake akameza P2 na anadai kua hio ndo mala yake ya kwanza kutumia hivyo vidonge.

Naombeni ushauri je hili ni tatzo ama ni mambo ya kawaida tu ? Maan kuna mda anahic labda ni unauzito umetunga nje ya kizazi
Possibly ni side effect ya p2, mean imesababisha intermenstrual bleeding, especially kama alitumia before 14th day (yan day ya ovulation)... (maybe)
 
  • Thanks
Reactions: xox
Possibly ni side effect ya p2, mean imesababisha intermenstrual bleeding, especially kama alitumia before 14th day (yan day ya ovulation)... (maybe)
Kweli alitumia P2 kama siku ya 6 kuanzia siku aliyotoka bleed ya kawaida ....kwahy ni kweli haikua imefika siku ya 14.
Sasa hyo dam itakata baada ya mda gan Themountain
 
Back
Top Bottom