Tatizo la kushindwa kutoa haja ndogo

psy

Member
Oct 13, 2013
40
4
Msaada wadau nimekuwa nikibanwa mkojo kwa muda mrefu bt unfortunately nikitaka kukojoa mkojo hautoki, unakua unauma tu lakini hautoki.

Mwenye ufahamu wa hili msaada tafadhali.
 
Msaada wadau nimekuwa nikibanwa mkojo kwa muda mrefu bt unfortunately nikitaka kukojoa mkojo hautoki, unakua unauma tu lakini hautoki.

Mwenye ufahamu wa hili msaada tafadhali.

una umri gani?? bph??


wahi hospitali mapema huenda ukahitaji kufanyiwa upasuaji wa haraka.
 
Nadhan awali alikua anakwenda vizuri Ila kwa sasa unabana hautoki kwa sababu dalili ya kwanza ya UTI ninkuhisi mkojo Ila ukienda huwa unatoka kidogo sana na maumivu ama usitoke kabisa, hii ilishanikutaga Mimi. Ila aende akapime kwanza inaweza kuwa ishu ingine
 
Msaada wadau nimekuwa nikibanwa mkojo kwa muda mrefu bt unfortunately nikitaka kukojoa mkojo hautoki, unakua unauma tu lakini hautoki.

Mwenye ufahamu wa hili msaada tafadhali.

Pole. Una umri gani? Tatizo lina mda gani mpaka sasa? Limeanza taratibu ama ghafla?
 
Yani unapata tatizo kama hilo mkuu week nzima unasubiri tu dah pole sana mkuu tunaweza kuwa tunakulaumu hapa kumbe hali ya maisha nayo si nzuri sana kwa ambacho nimegundua watanzania wengi hufa sio kwa sababu tu hawana desturi ya kwenda hospital bali ni kwa sababu hawana pesa za kumudu gharama za hospital inaumiza sana kwa kwel ila hakuna namna watz tumezoea sema tumuachie mungu
 
Ila uwahi hospital mkuu usifanye utani kwenye swala la afya
 
asante xana mkuu.....ntaenda nilikua nachukulia easy coz unabana den badae unatoka....

una tatizo la urine retention au urethral stricture, wahi hospitali mapema watakufanyia urethral cathetarization ili ku empty bladder la sivyo utaziathiri figo zako usipochukuliwa hatua za haraka.
 
mi mdogo wangu (wakike) alikuwa na tatizo hilo tena yeye ni zaidi ya wiki 2 lkn tulimpigia simu dokta akashaur tumwagie mafuta ya taa chini ya kitovu UKWELI BAADA YA KUMMWAGIA ALIKOJIA MKOJO MWINGI SANA cjui kama itaapply na kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom