Tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa

plas haule

New Member
Jan 20, 2016
4
0
Nina mchumba wangu anatatizo la kukosa kabisa hamu ya tendo ni mwaka sasa tangu awe hivyo na hata akijitahidi hapati kabisa ute hivyo anakuwa mkavu kabisa.

Tafadhali anayejua suruhisho hili anisaidie.
 
Back
Top Bottom