HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Wadau wana JF ambao pia ni ma-Great Thinkers!
Mwenzenu nina tatizo la kukosa kabisa hamu ya kula chakula. Kwenye chakula namaanisha ugali, wali, Nidizi. nyama n.k (Nimefafanua hapa maana najuwa watu wengine wanaweza kuja na tafsiri zao wanazozijuwa wenyewe!).
Naomba ushauri wa jinsi gani ninaweza kuondoka na tatizo hili. Kwa kifupi tatizo nimedumu nalo kwa miaka mingi na mara nyingi huwa nakula chakula kutimiza wajibu ....
Nawakilisha ....
Mwenzenu nina tatizo la kukosa kabisa hamu ya kula chakula. Kwenye chakula namaanisha ugali, wali, Nidizi. nyama n.k (Nimefafanua hapa maana najuwa watu wengine wanaweza kuja na tafsiri zao wanazozijuwa wenyewe!).
Naomba ushauri wa jinsi gani ninaweza kuondoka na tatizo hili. Kwa kifupi tatizo nimedumu nalo kwa miaka mingi na mara nyingi huwa nakula chakula kutimiza wajibu ....
Nawakilisha ....