Tatizo kwa Waislamu si Mahakama ya Kadhi, ni AJIRA!

Status
Not open for further replies.
Tanzania ya leo inanishangaza sana,hisia za kipuuzipuuzi kama ukabila,udini na ukanda zinashamiri sana.Mfano utaona mtu anapinga vitu kama mahakama ya kadhi kwa sababu inawahusu watu wa kundi moja,hoja hiyo ni nzuri sana kama kweli ingemaanisha kuondoa udini,cha kushangaza ni kuwa,watu wote wanaokataa mahakama ya kadhi wanataka PADRI awe mkuu wa nchi na serikali huku wakiamini hataleta elements za kikanisa ukizingati mtu amelelewa na kusoma muda mrefu kanisani.mapadri na mashekh wangebaki huko madhauni,nchi iongozwe na watu waliosoma shule za kisecular na sio walioandaliwa kuongoza kanisa au misikiti.

Wewe nenda vizuri ama vinginevyo wakuwaishe mirembe maana unaposema padri wanataka aongoze nchi unajidanganya kwani nani padri au shekhe amekuwa na sifa kanyimwa fulsa?! Cc sote ni waumini tu wewe unatafuta sababu ya kujibagua lkn naona kama unajifinya alafu unalia pole.
 
a) Leta data na research inayoonyesha kwamba waislamu wanahitaji ajira zaidi kuliko wakristo?
b) Wewe ambaye si muislamu unajuaje umuhimu wa mahakama kama siyo ubinafsi na chuki zako..
c) Gharama ngapi serikali ime-finance miradi ambayo inahudumia dini moja (wakristo) waislamu hawakuja na hoja za kipuuzi kama hizi
d) You can postpnent the issue lakini lazima itakuwepo wakati huo itakuwa too late kujadili kwa busara kama sasa

Na wewe leta data na research kwamba serikali imekuwa ikihudumia dini moja ( WAKRISTO) wacha uchonganishi usio na maana, hiyo mahakama mkiianzisha nyie kuna tatizo gani? acheni ubaguzi wakati nchi yetu sote hii..!!
 
Waislam wengi watabadili dini hakuna atakae kubali kukatwa mguu kisa dini.' ushaur wangu wakristo wajenge makanisa yakutosha kupokea waislam.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom