NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Nilishtushwa na spica wa bunge jinsi alivyohandle vurugu zilizotokea bungeni juzi kama sikosei iko video yake kwenye michuzi mpaka leo. Kuna ibara mbili zilinishtua sana. Kwanza ni ile aliyosema kua jamani tusiwe wajinga, haidhaniwi kua kwa wadhifa wake ni vizuri kutumia ibara kama ile wakati yeye mwenyewe alikua akikemea matumizi ya lugha chafu na kumuamuru mmoja wa wabunge atoke nje. Pili ni ile kumtaka mbunge akubali tu kuwithdraw hoja yake kwakua kwakufanya hivyo haitamcost chochote. Je wananchi haitawacost.