Taswira ya Mbagala

Kuna vitu vingine umetia ushabiki usio na maana eti watu wanachangia wembe! Husituingize kwenye umburula wako hapa.....hivi mbagala utalinganisha na vingunguti, buguruni kwa mnyamani, msasani bonde la mpunga, kinondoni mkwajuni nk,,,,unapewa story za kijiweni unaleta jf...sijui unaaishi wapi lkn kama ni sinza sipati tabu kwani ndiyo wale mnaohamka asubuhi na kutafuta poda kwanza kabla ya pesa na kwenda vijiweni kuzungumzia mbagala.....hawa ndiyo wale wanalala buguruni anashinda masaki[/QUOTE
Huyo haijui mbagala achana nae, mbagala hakuna shida ya maji, mbagala kuna mchanganyiko wa watu kuliko anavyodhani. Eti ofisi ya imamu, kwani mbagala wanakaa waislamu watupu? Twende vingunguti, buguruni, n.k ukajionee. Kuna kitu kinaitwa "mkinda wa buguruni" unajua maana yake? Jamani mpelekeni mbagala ajionee huyo alifilisika mawazo.
Braza nimequote coz nimeipenda.
 
Na nikukumbushe kabla ya kujengwa double road mbagala haikuwa na watu wengi. Watu wengi wamehamia mbagala baada ya usafiri mzuri kutokana na kujengwa double road. Huiwa sioni tofauti ya matatizo ya usafiri tofauti na sehemu zingine. Mbagala kuna nafuu sana
Mimi nisipokuta ile foleni ya pale bandari nafika mjini kwa dk 20, ikiwepo dk 30-45 honestly nafaidi usingizi maana sina haja ya kuamka sa11 kwenda kazini. Sasa wewe toka huko unakoish njoo tukutane posta tuone kama tutafika sawa? Huyu vp? We huijui mbagala kaa kimya.
 
Kuna vitu vingine umetia ushabiki usio na maana eti watu wanachangia wembe! Husituingize kwenye umburula wako hapa.....hivi mbagala utalinganisha na vingunguti, buguruni kwa mnyamani, msasani bonde la mpunga, kinondoni mkwajuni nk,,,,unapewa story za kijiweni unaleta jf...sijui unaaishi wapi lkn kama ni sinza sipati tabu kwani ndiyo wale mnaohamka asubuhi na kutafuta poda kwanza kabla ya pesa na kwenda vijiweni kuzungumzia mbagala.....hawa ndiyo wale wanalala buguruni anashinda masaki

Mbagala hawachangii nyembe tu hata kondomu hufuliwa na kuazimwa kwa mtu mwingine.
 
Viwembe vya mbagala ni vya aina gani mpaka kiwembe kimoja kiweze kunyoa vichwa vitano???
 
Ni kweli kabisa mbajala ukipita na rav4 mtaani watoto watakushangaa kweli tena kwa vigeregere, ukiwa na elf10 mtaa mzima utaitwa milionea.

Utakua sio mzima wewe, sihami mbagala ng'o. Njoo Saku uone tunavyoishi kwa raha, majimatitu, chamazi. Na hivi Bakhressa anajenga uwanja huku lazima mtakuja tu.
 
mtoa mada naona anachanganya madesa...hizo sifa ulzozitoa mbona hakuna huku mbagala..tuambie huo utafiti wako umefanya mbagala gani...hizo sifa labda unambie tandale lakin sio mbagala.
 
Atakuwa wa mkoani tu huyu. Kaja likizo kwa dada yake baada ya kumaliza mitihani ya annual ya form one
 
Atakuwa wa mkoani tu huyu. Kaja likizo kwa dada yake baada ya kumaliza mitihani ya annual ya form one

Tangu 2001 naishi mbagala utaniambia nn? Chochoro zote nazijua. Tangu nikiwa mtoto mpk leo mtoto wa mchumba wangu (mwanangu) ananiita baba. Haaaa utaniambia nn tangu nacheza mpira viwanja vyenye mbigili biasi (sasa hivi kuna viwanda). Tangu enzi hizo rangi3 kuna miti mirefu, enzi hizo nasoma pre-form 1 pale zakem mliman before kibondemaji karibu na kanisa katoliki. Haaa!!
Umemaliza masomo juzi umekuja mjini kutafuta kazi ndio uponde Mbagala wakati wewe unalala sebuleni? Ndio, coz umekuja tu juzi. Either unakaa tabata,tegeta,boko,mbezi/kimara coz huko kote kulikua vichaka wakati sisi tunahamia Mbagala.
Only the brave can understand how beautiful and sweet Mbagala is. For your info, Mbagala is one of the fastest growing places in the City. Every now and then more businesses are opened, banks are looking for offices to let. It's a very nice place to invest, so far. Come experience the goodness of Mbagala. Karibu Mbagal.
 
Wiki hii nilipata fursa ya kupita mbagala na kuzungukia mitaa michache na hiki ndio nilichokiona;

1.Kwa wenyeji Mbagala hujulikana zaid kama "Mbajala"
2.Mbagala ina watu wengi sana na pilikapilika ni nyingi sana.
3.Nyumba nyingi zimetenganishwa na njia na vipenyo finyu sana lakini ndani kuna sofa! sijui hata hizo sofa zinapitaje
4.Kuna ujamaa sana watu bado wanachangia matumiz ya vitu mbalimbali nimekuta jamaa watano wamejipanga kwa kinyozi wanahudumiwa kwa wembe mmoja!
5.Kuna ukaribu baina ya watu kiasi kwamba watu wanafahamiana, kama ni mgeni utajulikana tu.
6.Kuna biashara kubwa ya vitu feki / pirated hasa cd, tv n.k
7.Ofisi ya imamu ni moja ya ofisi muhimu sana pengine kuliko hata ya mjumbe wa mtaa
8.Kuna uwingi wa ofisi za wataalam wa tiba asili pengine kuliko hata maduka ya madawa.
9.Wakazi wa huko hupendelea sana sherehe zinazokwenda kwa majina mbalimbali kama kumtoa mwali, maulidi n.k, sherehe husherekewa kwa shangwe na vigelegele na akina dada na akina mama ambao wengi wao huvalia nguo nyepesi za kuangaza almuradi kila kitu burudani!

Jaman hii ndio Mbagala niliyoiona mimi, Je Mbagala yako ikoje?
Hapo kwenye namba 2 ni kwa sababu wanazaliana sana.
Hapo kwenye namba 3 wanamwita fundi seremala na kutengenezea hizo sofa humo humo ndani.
Hapo kwenye namba 6 ni kwa sababu vipato vyao ni vidogo kwa hiyo hawawezi kununua vitu original ambavyo ni ghali.
Hapo kwenye namba 7 ni kwa sababu ya dini moja iliyotawala huko.
Hapo kwenye namba 9 ni kwa sababu wanapenda sana starehe kuliko kazi.
 
.......kati ya maeneo ya dar yalionikalia kushoto kujenga au hata kuishi ni mbagala, sijui kwa nini? Sinaga mzuka hata wa kununua kiwanja hata kama ni bei rahisi. Wilaya ya temeke yote huwa siipendi.
 
Back
Top Bottom