johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,726
- 143,176
Kumbe mjomba katumiwa taarifa?We unaamini ubalozi wa tz huko ulikuwa hauna taarifa, sasa nani alimtumia mtoto wa mjomba wake nemes huku bongo kuhusu taarifa za kifo chake huko
Ova
Kumbe mjomba katumiwa taarifa?We unaamini ubalozi wa tz huko ulikuwa hauna taarifa, sasa nani alimtumia mtoto wa mjomba wake nemes huku bongo kuhusu taarifa za kifo chake huko
Ova
PoleniI sana Bavicha
Mgombea ubunge anafariki lakini chama hakina taarifa yoyote?
Halafu wanataka wakabifhiwe nchi nzima
Chadema ni bure kabisa
Kabila mwenyewe alipokuwa anafanya mchakato wa kumuondoa mobutu,wabongo wengi walienda huko
Ova
Unapelekaje vitani mtu ambaye Hana mafunzo ya kijeshi?Mkuu hawashurutishwi unaenda mwenyewe kwa hiari yako (benefits)
Waafrika wengi wamepigana vita vya Afghanistan kipindi kile US na UK walipopeleka majeshi yao.
Wakati wa kumuangusha mobutuHadi leo wengine wako jeshi la congo na mafunzo baadhi yalifanyikia mikocheni kwake, kambi nyingine ilikua zambia chini ya Bisima na nyingine ilikua Rwamagana Rwanda na waliokubali baadae walipewa posho walau kila mwezi na wengine waliingia congo kama wanunuzi wa dhahabu na vibali walipewa na walijikita porini ndani ndani na kuandaa makambi ya siri na ndio maana vikundi vya waasi congo ni vingi sana, nina washkaji zangu wengine walifia kule na wengine uraia na majina walibadili kabisa na wengine ukimuulizia kwao wanasema alishakufa wakati wanajua alipo, ni katika kuhustle na maisha sio kesi
Hili tukio la nemes nlilijuwa kama wiki 3 zilizopita tena nlikutana na ndg yake mmoja akawa ananiambiaHadi leo wengine wako jeshi la congo na mafunzo baadhi yalifanyikia mikocheni kwake, kambi nyingine ilikua zambia chini ya Bisima na nyingine ilikua Rwamagana Rwanda na waliokubali baadae walipewa posho walau kila mwezi na wengine waliingia congo kama wanunuzi wa dhahabu na vibali walipewa na walijikita porini ndani ndani na kuandaa makambi ya siri na ndio maana vikundi vya waasi congo ni vingi sana, nina washkaji zangu wengine walifia kule na wengine uraia na majina walibadili kabisa na wengine ukimuulizia kwao wanasema alishakufa wakati wanajua alipo, ni katika kuhustle na maisha sio kesi
Huyu anazikwa mbeya nakumbuka hata juzi nlikomenti humuTarimo si huwa wanazikwa Klm na Ar
Kwa hiyo hii ndiyo official report ya raia wa Tanzania aliyefia kwenye vita nchi nyingine na bara lingine?
Ccm ninyi ni cancer ya kongosho hamfai!!!
Wakati wa kumuangusha mobutu
Nakumbuka mtoto wa kabila alikuwaga na saloon mitaa ya nyuma
Ya mwanamboka,watu kibao walikuwa wanaenda pale kufanyiwa usahili kimyakmya...
Na mm nlivyokuwa napenda dili na pesa kdg,niende sema nlipata safari yangu moja ya kibaharia nkatokomea huko
Ila dunia ni uwanja wa fujo,mambo mengi yanafanyika ndomana dunia haiwez kutulia
Ova
Ndio na wengine walikua wanaambiwa wakacheze mgambo kwanza ndio kama unakumbuka ilikua mtu anaulizia mgambo akisikia uko sehemu fulani anasafiri kwenda kujiunga fasta halafu akirudi anaorodheshwa kwenye jeshi la kabila
Haya sasa!PoleniI sana Bavicha
Mgombea ubunge anafariki lakini chama hakina taarifa yoyote?
Halafu wanataka wakabifhiwe nchi nzima
Chadema ni bure kabisa
Asante sana kwa ufafanuziHuyu anazikwa mbeya nakumbuka hata juzi nlikomenti humu
Baba yake wa kumzaa hajawahi kukaa naye wala kumleaaa,tarimo alilewa zaidi na mama yake /upande wa mama
Ova
Hapo kuna sentensi mbaya? Mbona mnakariri ubaya ubaya tuAcha propaganda za kitoto. NEMES kuwa Chadema ni dhambi kwani? Pia NEMES kujiunga na Hilo jeshi Chadema inahusishwaje?
Acheni mambo ya kitoto. Nemes kuwa mwanachadema siyo dhambi. Wakileta Msiba tutashiriki.
Kha!,kha!,Wee jamaa wewe nenda taratibu.PoleniI sana Bavicha
Mgombea ubunge anafariki lakini chama hakina taarifa yoyote?
Halafu wanataka wakabifhiwe nchi nzima
Chadema ni bure kabisa
Contradiction SOMA HII ya bbc toka nyumbani kwao hapo hapo. Inaonekana Mangi alijua na kuwashirikisha jamaa zake kwa mujibu wa familia yake yeye mwenyewe. Wanasema walimuonya akagoma hakuwasikilizaTAARIFA ZA TARIMO KUSHIRIKI VITA
Tumeshtuka na hatuna uhakika kama kweli alishiriki katika vita, kwa kuwa hata mgambo tu hajapita.