Matokeo yataanza kutolewa kuanzia saa tano usiku mambo bambam CHADEMA iko juu sana. Inaonyesha CCM WAMEELEMEWA NA HAWANA PA KUTOKEA HIVYO WANACHELEWESHA MATOKEO MAKUSUDI. CCM wamegoma kusaini matokeo maana wamebwagwa kwa habari za chini chini, ila tutazidi kuwapasha. TUKO PAMOJA SANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.