Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,215
- 80,291
Jamaa wa KGB wanafanya ,blunder na mistake ,Oleg walitakiwa wampaki sehemu maalum
Aishukuru Ile dawa aliyopewa na mkuu wa M16 iliyopelekea ahimili ukali wa pombe mchanganyoJamaa ana bahati sana.... luck was on his side...ndio maana mpaka sasa yupo hai.
Huyu mwamba kiufupi alikuwa na bahati tu nothing elseAishukuru Ile dawa aliyopewa na mkuu wa M16 iliyopelekea ahimili ukali wa pombe mchanganyo
Hakuna ambaye anheshinda!? Una maana gani hapa?? ++Hakuna ambaye angeshinda maana ingekuwa vita ya Nyuklia pia Soviet kipindi hiko ilikuwa imeshajiandaa haswa
Kama miaka 1960s Nikita Krushev alitaka kutumia silaha za Nyuklia kwenye mgogoro wa Cuba na Marekani , sembuse miaka ya 1980s
West wote walikuwa wanamuogopa USSR kama ilivyo Sasa wanamuogopa Urusi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wahuni unanyeshwa kitu unaanza kutoa Siri zote kwanini isije bongo kuliko kutesa watu watoe Siri.Aishukuru Ile dawa aliyopewa na mkuu wa M16 iliyopelekea ahimili ukali wa pombe mchanganyo
Vita ya Nyuklia haina mshindi ni nchi zote kuangamiaHakuna ambaye anheshinda!? Una maana gani hapa?? ++
Itakayeanza kumfikia nuclear ndio atakaye athirika zaidiVita ya Nyuklia haina mshindi ni nchi zote kuangamia
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Urusi huwa haogopwi kwa siraha alizo nazo, anaogopwa kwa chain of command katika kuamua matumizi ya siraha ipi itumike.Kwa USA kutumia siraha za maangamizi ni mchakato wakati kwa Russia ni rahisi mtu mmoja kuamuaHakuna ambaye angeshinda maana ingekuwa vita ya Nyuklia pia Soviet kipindi hiko ilikuwa imeshajiandaa haswa
Kama miaka 1960s Nikita Krushev alitaka kutumia silaha za Nyuklia kwenye mgogoro wa Cuba na Marekani , sembuse miaka ya 1980s
West wote walikuwa wanamuogopa USSR kama ilivyo Sasa wanamuogopa Urusi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣mcTobby we and Fortunatus Buyobe are waiting for you mkuu
Kama ilivyosasa wanamuogopa Urusi! How? Mbona naona ni swala la muda tu urusi atatii amri. Juzi Kati alipiga kelele akilalamika Ukraine ilijaribu kumuua Putin kwa kupiga eneo Walilodhani alikuwepo Putin. Sasa Kama anga la mbabe wa vita linashambuliwa na silaha ya kitoto Kama hizo drones si inamaana anga la urusi halipo salama ? Au wamejilipua wenyewe wapate kibali cha kuingia mazima Ukraine? Au ni west wamefanya hivyo kama anavyotuhumu? Kama ni kweli west wamembeep kwa drones bado inatuonesha anaweza akachapika tu kama west wataingia mzigoni mazima.Hakuna ambaye angeshinda maana ingekuwa vita ya Nyuklia pia Soviet kipindi hiko ilikuwa imeshajiandaa haswa
Kama miaka 1960s Nikita Krushev alitaka kutumia silaha za Nyuklia kwenye mgogoro wa Cuba na Marekani , sembuse miaka ya 1980s
West wote walikuwa wanamuogopa USSR kama ilivyo Sasa wanamuogopa Urusi
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
West wote hawana uwezo wa kupambana full scale war na Urusi, hakuna ambaye anaweza kwenda front kupambana na UrusiKama ilivyosasa wanamuogopa Urusi! How? Mbona naona ni swala la muda tu urusi atatii amri. Juzi Kati alipiga kelele akilalamika Ukraine ilijaribu kumuua Putin kwa kupiga eneo Walilodhani alikuwepo Putin. Sasa Kama anga la mbabe wa vita linashambuliwa na silaha ya kitoto Kama hizo drones si inamaana anga la urusi halipo salama ? Au wamejilipua wenyewe wapate kibali cha kuingia mazima Ukraine? Au ni west wamefanya hivyo kama anavyotuhumu? Kama ni kweli west wamembeep kwa drones bado inatuonesha anaweza akachapika tu kama west wataingia mzigoni mazima.
Kwenye shamba la ngumi hawavuni miwa!!West wote hawana uwezo wa kupambana full scale war na Urusi, hakuna ambaye anaweza kwenda front kupambana na Urusi
Hapo Ukraine wamejaza West wote lakini wameshindwa wanatumia mgongo wa Ukraine
Narudia hakuna West anayeweza kupambana na Urusi Moja kwa moja , Marekani Mwenyewe anaogopa
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Unanichonganisha na watu wewemcTobby we and Fortunatus Buyobe are waiting for you mkuu
Kwanini?? Kwani kukusubiria ni kosa mkuu??Unanichonganisha na watu wewe
By the way Leo weekend siwezi kiwaangusha waungwana. Majukumu yaliingiliana kidogo.
Wala hawajashindwa kumaliza hii vita wanachoavoid ni dunia kuingia kwenye ww3 ndo maanaWest wote hawana uwezo wa kupambana full scale war na Urusi, hakuna ambaye anaweza kwenda front kupambana na Urusi
Hapo Ukraine wamejaza West wote lakini wameshindwa wanatumia mgongo wa Ukraine
Narudia hakuna West anayeweza kupambana na Urusi Moja kwa moja , Marekani Mwenyewe anaogopa
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Buyobe anataka ulipie kwanzamcTobby we and Fortunatus Buyobe are waiting for you mkuu