Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Hakuna ambaye angeshinda maana ingekuwa vita ya Nyuklia pia Soviet kipindi hiko ilikuwa imeshajiandaa haswa

Kama miaka 1960s Nikita Krushev alitaka kutumia silaha za Nyuklia kwenye mgogoro wa Cuba na Marekani , sembuse miaka ya 1980s

West wote walikuwa wanamuogopa USSR kama ilivyo Sasa wanamuogopa Urusi

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Hakuna ambaye anheshinda!? Una maana gani hapa?? ++
 
Hakuna ambaye angeshinda maana ingekuwa vita ya Nyuklia pia Soviet kipindi hiko ilikuwa imeshajiandaa haswa

Kama miaka 1960s Nikita Krushev alitaka kutumia silaha za Nyuklia kwenye mgogoro wa Cuba na Marekani , sembuse miaka ya 1980s

West wote walikuwa wanamuogopa USSR kama ilivyo Sasa wanamuogopa Urusi

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Urusi huwa haogopwi kwa siraha alizo nazo, anaogopwa kwa chain of command katika kuamua matumizi ya siraha ipi itumike.Kwa USA kutumia siraha za maangamizi ni mchakato wakati kwa Russia ni rahisi mtu mmoja kuamua
 
Hakuna ambaye angeshinda maana ingekuwa vita ya Nyuklia pia Soviet kipindi hiko ilikuwa imeshajiandaa haswa

Kama miaka 1960s Nikita Krushev alitaka kutumia silaha za Nyuklia kwenye mgogoro wa Cuba na Marekani , sembuse miaka ya 1980s

West wote walikuwa wanamuogopa USSR kama ilivyo Sasa wanamuogopa Urusi

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Kama ilivyosasa wanamuogopa Urusi! How? Mbona naona ni swala la muda tu urusi atatii amri. Juzi Kati alipiga kelele akilalamika Ukraine ilijaribu kumuua Putin kwa kupiga eneo Walilodhani alikuwepo Putin. Sasa Kama anga la mbabe wa vita linashambuliwa na silaha ya kitoto Kama hizo drones si inamaana anga la urusi halipo salama ? Au wamejilipua wenyewe wapate kibali cha kuingia mazima Ukraine? Au ni west wamefanya hivyo kama anavyotuhumu? Kama ni kweli west wamembeep kwa drones bado inatuonesha anaweza akachapika tu kama west wataingia mzigoni mazima.
 
Kama ilivyosasa wanamuogopa Urusi! How? Mbona naona ni swala la muda tu urusi atatii amri. Juzi Kati alipiga kelele akilalamika Ukraine ilijaribu kumuua Putin kwa kupiga eneo Walilodhani alikuwepo Putin. Sasa Kama anga la mbabe wa vita linashambuliwa na silaha ya kitoto Kama hizo drones si inamaana anga la urusi halipo salama ? Au wamejilipua wenyewe wapate kibali cha kuingia mazima Ukraine? Au ni west wamefanya hivyo kama anavyotuhumu? Kama ni kweli west wamembeep kwa drones bado inatuonesha anaweza akachapika tu kama west wataingia mzigoni mazima.
West wote hawana uwezo wa kupambana full scale war na Urusi, hakuna ambaye anaweza kwenda front kupambana na Urusi

Hapo Ukraine wamejaza West wote lakini wameshindwa wanatumia mgongo wa Ukraine

Narudia hakuna West anayeweza kupambana na Urusi Moja kwa moja , Marekani Mwenyewe anaogopa

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
West wote hawana uwezo wa kupambana full scale war na Urusi, hakuna ambaye anaweza kwenda front kupambana na Urusi

Hapo Ukraine wamejaza West wote lakini wameshindwa wanatumia mgongo wa Ukraine

Narudia hakuna West anayeweza kupambana na Urusi Moja kwa moja , Marekani Mwenyewe anaogopa

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Kwenye shamba la ngumi hawavuni miwa!!
 
West wote hawana uwezo wa kupambana full scale war na Urusi, hakuna ambaye anaweza kwenda front kupambana na Urusi

Hapo Ukraine wamejaza West wote lakini wameshindwa wanatumia mgongo wa Ukraine

Narudia hakuna West anayeweza kupambana na Urusi Moja kwa moja , Marekani Mwenyewe anaogopa

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Wala hawajashindwa kumaliza hii vita wanachoavoid ni dunia kuingia kwenye ww3 ndo maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom