Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wakuu nina tatizo moja kuhusu sheria za kazi hususani hapa kwetu Tz.
Sijui kwingine zikoje lakini nafahamu kuwa wengine hufanya kazi kwa mikataba ambapo ukiisha kila upande una hiari ya kuundeleza. Sasa kama mimi nimeajiriwa kwa terms za PERMANENT AND PENSIONABLE ni awakati gani naweza kuachana na huo mnyororo nikalipwa haki zangu zote kama vilenimestaafu nikapomptezea mwajiri anayeniboa hususani JK?
Nataka nipambane na kiliomo na mifugo tu. Habari ya sh. 210, 000 ni ushenzi mtupu.
Mwenye kuelewa sheria tafadhali, na kama kama haipo tumwombe Mtikila atusaidie maana ni haki yangu kumsepa mwajiri mbovu na kuchagua kilicho bora bila kupoteza haki yangu ya msingi ya mafao.
Sijui kwingine zikoje lakini nafahamu kuwa wengine hufanya kazi kwa mikataba ambapo ukiisha kila upande una hiari ya kuundeleza. Sasa kama mimi nimeajiriwa kwa terms za PERMANENT AND PENSIONABLE ni awakati gani naweza kuachana na huo mnyororo nikalipwa haki zangu zote kama vilenimestaafu nikapomptezea mwajiri anayeniboa hususani JK?
Nataka nipambane na kiliomo na mifugo tu. Habari ya sh. 210, 000 ni ushenzi mtupu.
Mwenye kuelewa sheria tafadhali, na kama kama haipo tumwombe Mtikila atusaidie maana ni haki yangu kumsepa mwajiri mbovu na kuchagua kilicho bora bila kupoteza haki yangu ya msingi ya mafao.