Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Wakuu najua kuna wafanyakazi wazoefu sana humu jamvini.
Mimi na mke wangu tumeajiriwa na shirika la kidini tunatarajiwa kwenda likizo soon. Tunamtoto mmoja.
Napenda kujua zipi ni haki zangu ambazo natakiwa kuziclaim au kupewa wakati nakwenda likizo. Naombeni msaada ili nijue taratibu ili pale ninaposhindwa kutimiziwa niwadai.
Natarajia ushirikiano wenu.
Mimi na mke wangu tumeajiriwa na shirika la kidini tunatarajiwa kwenda likizo soon. Tunamtoto mmoja.
Napenda kujua zipi ni haki zangu ambazo natakiwa kuziclaim au kupewa wakati nakwenda likizo. Naombeni msaada ili nijue taratibu ili pale ninaposhindwa kutimiziwa niwadai.
Natarajia ushirikiano wenu.