Ni kipindi kigumu sana kwako, mwenyewe Muweza wa yote akutie nguvu katika wakati huu mgumu unaoupitia ndugu yangu. Pole sana na pole nyingi sana kwa familia yako na wazazi wengine waliopata matatizo katika ajali hii mbaya. Mungu akasimame nawe PakaJimmy
In short, we are speechless.....
ndoto za watoto wetu wapendwa zimezimika kama mshumaa uliowashwa katikati ya upepo mkali
pole sana paka Jimmy ni Mungu pekee ndiye atakaeweza kukuvusha katika magumu haya,,
Too sad. Maandalizi yanaendelea ya kusafirisha mwili wa mtoto wa PJ kutoka Arusha kwenda Irambo Mbeya kwa mazishi, baada ya taratibu za kiserikali za kuaga kukamilika.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake liohimidiwe!
Pole saaaana kaka yangu baba Praise! Nimekosa cha kusema kwa kweli ! Nimeona hiyo clip ndo nikamkumbuka mama P!
My brother stay strong for your family! I am truly saddened!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.