melimeli maganga pau
Senior Member
- Jun 23, 2012
- 148
- 32
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kata ya Usa river kimepata msiba baada aliyekuwa mjumbe mkutano mkuu wilaya Meru CHADEMA kutoka kata ya Usa river ndugu Privatus Mahabusi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Seliani baada ya kutapika damu ghafla.
Chanzo: Mwenyekiti CHADEMA, kata ya Usa river
Chanzo: Mwenyekiti CHADEMA, kata ya Usa river