Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Familia yake ndo itakuwa imepoteza mtu muhimu. Taifa halijapoteza chochote ufisadi wake utaendelea kutuumizaRest in peace ,liyumba,taifa limepoteza mtu muhimu sana
Familia yake ndo itakuwa imepoteza mtu muhimu. Taifa halijapoteza chochote ufisadi wake utaendelea kutuumizaRest in peace ,liyumba,taifa limepoteza mtu muhimu sana
Umunimu wake ilikuwa ni upi huo?Rest in peace ,liyumba,taifa limepoteza mtu muhimu sana
Red carKwani naye ameigiza bongo movie? Movie gani hiyo?
Si sahihi kumpangi au kumuamuru Mungu amuweke wapi nani na kwa lipi bali namna nzuri ni kumuacha amuweke panapostahili...sisi tunachoweza kufanya ni kumuomba Mungu amhurumie...Nadhani haya siyo maombi mazuri... Maombi mazuri ni yale ya kusema Mungu amsamehe makosa yote aliyofanya duniani na amuweke mahali pema peponi
I hope by now he is where he derves be it in hell or in heaven depending on his choixe while he was still alive.Rest in Peace Mzee Liyumba
Amen.Rest in Peace Mzee Liyumba
Si sahihi kumpangi au kumuamuru Mungu amuweke wapi nani na kwa lipi bali namna nzuri ni kumuacha amuweke panapostahili...sisi tunachoweza kufanya ni kumuomba Mungu amhurumie...
Chanzo cha kifo ni nn? Au ile ajali ya tundaman iringa juzi!Kifo akichagui *****. R.I.P Mr Red
Kifo akichagui *****. R.I.P Mr Red
Kesha andika sasa nenda mahakamanikulikua na sababau yoyote ya kuandika hilo neno??