Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,725
- 14,261
Kwa Mujibu wa handle ya Twitter ya Tanzania Business Insight, Tanzania itapokea mkopo wa dharura na haraka wa $153M kwa ajili ya ku support budget yetu.
Katika marejeo ya Shirika hilo la fedha duniani, inaonekana Tanzania inafanya vizur licha ya changamoto kubwa za uchumi duniani .
Sasa swali?
Hivi kwel USD 153M ni hela ya kukopa IMF? Tunaweza pata ufafanuzi?
Katika marejeo ya Shirika hilo la fedha duniani, inaonekana Tanzania inafanya vizur licha ya changamoto kubwa za uchumi duniani .
Sasa swali?
Hivi kwel USD 153M ni hela ya kukopa IMF? Tunaweza pata ufafanuzi?