Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)

Fortilo

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
4,725
14,261
Kwa Mujibu wa handle ya Twitter ya Tanzania Business Insight, Tanzania itapokea mkopo wa dharura na haraka wa $153M kwa ajili ya ku support budget yetu.

Katika marejeo ya Shirika hilo la fedha duniani, inaonekana Tanzania inafanya vizur licha ya changamoto kubwa za uchumi duniani .

Sasa swali?

Hivi kwel USD 153M ni hela ya kukopa IMF? Tunaweza pata ufafanuzi?

Screenshot_20230425-152433_Twitter.jpg


 
Nikimtazama tu Samia anavyomsikiliza Mwigulu kwa makini kwenye hiyo picha, ndio naona chanzo kwanini tumeshapotea kama taifa.
 
Na zenyewe zitapigwa tu na wachache
halafu kama kawa sisi
wanyonge tutazilipia kwenye tozo point.
 
Budget mpya si ndio inapikwa mkuu?
Unapika vipi ikiwa chakula cha mwanzo kimeshindwa kulika sasa kimegeuka kiporo, hicho kipya unachopika nacho si kitageuka kiporo vile vile?

Hatujielewi wala hatujui kitu gani tunafanya.
 
Back
Top Bottom