KISHOKA_ZUMBU
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 163
- 78
Kama tutakubali kubaki maskini tunaweza kuwa Ethical, nina maana 2kikubali mfumo wa ujamaa 2naweza kuwa ethical.
Katka mfumo wa uchumi wa kibepari haiwezekani kuwa Ethical.
Ufisadi is there 2 stay!
Ukiona m2 anapiga kelele ni kwasababu hajauona mfereji wa kuchota, akishauona kimyaa.
Katka mfumo wa uchumi wa kibepari haiwezekani kuwa Ethical.
Ufisadi is there 2 stay!
Ukiona m2 anapiga kelele ni kwasababu hajauona mfereji wa kuchota, akishauona kimyaa.