Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 508
Kwa muda mrefu nimeangalia kusikiliza na kushiriki mijadala anuai ya kuhusu mustakhabali wa nchi yetu and kugundua kuwa kuna unafiki na uhafidhina mkubwa katika maslahi ya nchi. Kimtazamo hadi sasa nafikiri hatuhitaji mabadiliko ya siasa ya nch bali inahitajika sisi wenyewe kila mmoja kubadilika kwanza binafsi then tutaweza kubalisha mtazamo na siasa ya nchi. Kwa mtindo huu wa sasa wa majukwaa kamwe hatutafika. Ni mtazamo wangu. Ninependa pia kupata mitazamo ya wanajamvi. Respect all!